Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Infropreneur, tumia tu akili yako usisikilize walichokuambia wamisionari. "God cannot be both benevolent and omnipotent" check the presence of evils in the Universe, if He connot prevent them He isn't omnipotent. That's why He failed to kill Satan.
 
Infropreneur, tumia tu akili yako usisikilize walichokuambia wamisionari. "God cannot be both benevolent and omnipotent" check the presence of evils in the Universe, if He connot prevent them He isn't omnipotent. That's why He failed to kill Satan.
Shetani yupo kwa makusudi maalumu. Shetani yupo kudhihirisha nguvu za Mungu. Pia shetani yupo ili wanadamu wamwabudi Mungu kwa hiyari ya mioyo yao. Mungu alimuumba mtu akiwa na free will kwamba atumie utashi wake kuabudu. Shetani asingekuwepo watu wangemwabudu Mungu kwa lazima, jambo ambalo Mungu asingelitaka kwa sababu Mungu ni wa upendo, na upendo wake ni wa ajabu.

Shetani yupo kwa muda tu maana hukumu yake ishatangazwa na yeye mwenyewe anaijua kuwa ni kutupwa kwenye lile ziwa la moto.


JESUS IS LORD
 
Infropreneur, tumia tu akili yako usisikilize walichokuambia wamisionari. "God cannot be both benevolent and omnipotent" check the presence of evils in the Universe, if He connot prevent them He isn't omnipotent. That's why He failed to kill Satan.
Sasa huo uwezo wake uko wapi? Kama anashindwa ku mua shetani...Afu una uthibitisho wa kwamba "God cannot be both benevolent and omnipotent" au unahisi tu kwa mawazo yako????
 
Shetani yupo kwa makusudi maalumu. Shetani yupo kudhihirisha nguvu za Mungu. Pia shetani yupo ili wanadamu wamwabudi Mungu kwa hiyari ya mioyo yao. Mungu alimuumba mtu akiwa na free will kwamba atumie utashi wake kuabudu. Shetani asingekuwepo watu wangemwabudu Mungu kwa lazima, jambo ambalo Mungu asingelitaka kwa sababu Mungu ni wa upendo, na upendo wake ni wa ajabu.

Shetani yupo kwa muda tu maana hukumu yake ishatangazwa na yeye mwenyewe anaijua kuwa ni kutupwa kwenye lile ziwa la moto.


JESUS IS LORD
Kama Mungu upendo wake ni wa ajabu kwani nini amwache shetani afanye uovu? Ni upendo gani huu? Yani utakuwa upendo wa kinafiki useme una upendo huku una acha ubaya na uovu utokee kwa kigezo cha kudhihirisha ukuu wako?...
 
Ulietoa hii mada..nakupa homework....! Tafuta kitabu cha enoch na usearch viumbe hawa...wafuatao

1.seraphins
2.Ophanims
3.Cherubians
4.Metatron

Kundi la pili
1.Behemoth
2.leviathan
3.Phoenix ( huyu shetani akiskia yupo mahali anakimbilia pengine hathubutu hata kumuangalia usoni) (sio malaika)

Kundi la tatu
1.Princes YWHW
2.Prince
3.Lords

Kundi la nne
1.Gregorian Angels
2.Seven Archangels
3.Angels of seven Halls

Kundi la tano
1.Samael
2.Azazel
3.Semzaya

Utamjua shetani na nguvu zake.....
Lakini utakaa miezi sita unamfikiria MUNGU
Azazel ni Kerubi mkorofi sana...Ila anatulizwaga kama kuku mtetea tu..na shetani anamuogopa huyo Azazel..je Samael?

Huyo Mikael je?

Yale madude matatu ambayo yanamskiliza MUNGU Tu? Behemoth,Leviathan na Phoenix...? Shetani ni tiny little Shit...!

Unaeza kutumia internet kujifunza baadhi ya majina hapo na kazi yao uongeze knoweledge...
 
Usimwogope yeye awezaye kuuangamiza mwili asiiangamize roho bali mwogope yeye awezaye kuungamiza mwili na roho katika jehanam
 
Kwa Yesu, shetani alidhani amemkomoa ila alitimiza maandiko. .. . ilikuwa lazma mwana wa Adamu aje aishi kama mwanadamu na asubulubiwe...afanyike laana ..aimwage damu yake isiyo na hatia kwa ajili ya utakaso wa kila mwanadamu mwenye mwili duniani.. afe azikwe na afufuke..

Msalaba una nguvu kuliko mauti.
Umejibu vyema 👏
 
Jaribu kipitia historia utaona jinsi mitume walichapika na wanavyochapika mpaka sasa,
Nyie watu wake mko sahihi kabisa wala sikupingi! ni mkubwa kwa upande wenu, halafu mnamuogopaaa!! Lkn kuna watu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu!! hii tu inampa shida sana shetani! kamwe hawezi!

MITUME WALITESWA;
ni sawa ili shetani awapate vizuri waoga nyie! ilibidi awatishe km ivo, kwa kuwaumiza hao mitume! na kweli mleta mada unamuogopa mpaka leo unamuona mkubwaaaa!! hapo kwako shetani kafanikiwa sana!

Pale shetani alikuwa anapambana na kivuri tu! lkn mitume watu wa Mungu walikuwa mbali sana! wanakula Bata! hata Yesu pale msalabani! shetani aliwatisha tu kile kilikuwa kivuli cha Yuda msaliti ndo alichapika pale!

Hivi Yesu unamuonaje?? yeye alikuja tu kuwapa somo!...lkn shetani hana jeuri hiyo! haya nikuambiayo hutayapata popote sana mpaka Library za Vatican city!

kifupi shetani ana mikwaraaa km jiwe!!....kuumbe jiwe ni mfu mtarajiwa, mahiti ilokuwa inatembea!......wabongo mliongozwa na shetani LIVE.......mkidhania ni jiwe, lkn kiuhalisia

jiwe halisi alikufa mapema sana ktk ulimwengu wa Roho! hkn aliyestuka but mimi tuuu!......Mimi nimeumbwa kwa mfano wa Mungu shetani ananiogopa sana! hata sasa ivi muite ntampiga makofiiii
 
Nyie watu wake mko sahihi kabisa wala sikupingi! ni mkubwa kwa upande wenu, halafu mnamuogopaaa!! Lkn kuna watu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu!! hii tu inampa shida sana shetani! kamwe hawezi!

MITUME WALITESWA;
ni sawa ili shetani awapate vizuri waoga nyie! ilibidi awatishe km ivo, kwa kuwaumiza hao mitume! na kweli mleta mada unamuogopa mpaka leo unamuona mkubwaaaa!! hapo kwako shetani kafanikiwa sana!

Pale shetani alikuwa anapambana na kivuri tu! lkn mitume watu wa Mungu walikuwa mbali sana! wanakula Bata! hata Yesu pale msalabani! shetani aliwatisha tu kile kilikuwa kivuli cha Yuda msaliti ndo alichapika pale!

Hivi Yesu unamuonaje?? yeye alikuja tu kuwapa somo!...lkn shetani hana jeuri hiyo! haya nikuambiayo hutayapata popote sana mpaka Library za Vatican city!

kifupi shetani ana mikwaraaa km jiwe!!....kuumbe jiwe ni mfu mtarajiwa, mahiti ilokuwa inatembea!......wabongo mliongozwa na shetani LIVE.......mkidhania ni jiwe, lkn kiuhalisia

jiwe halisi alikufa mapema sana ktk ulimwengu wa Roho! hkn aliyestuka but mimi tuuu!......Mimi nimeumbwa kwa mfano wa Mungu shetani ananiogopa sana! hata sasa ivi muite ntampiga makofiiii
Mkuu shetani siyo Lele mama. Nakupa mifano michache tu ujue ukuu wake na nguvu iliyoko kwake.

1. Kumbuka mkasa wa shetani na Ayubu. Ukifuatilia mazungumzo ya Mungu na shetani, utagundua shetani ana nguvu sana. Mungu alimsihi sana Asiutwae uhai wa Ayubu (asimuue). Kwa lugha nyingine Mungu hawezi kuzuia shetani asikuondoe hata kama unautakatifu wa kiwango Chote.

2. Kumbuka vita iliyopiganwa mbinguni. Fahamu nini maana ya vita kwanza. Haukuwa mchezo wa kuigiza. Ilimaanisha kumuua. Ama afe shetani au Mungu apinduliwe. Pamoja na vita kupiganwa sana huko mbinguni bado Mungu alishindwa kumuua shetani na malaika zake. Akashuka huku duniani na

3. Mipango mingi ya Mungu imekuwa ikitobuliwa na kuharibiwa na shetani. Angalia Mungu ameangamiza mara ngapi wanadamu. Lakini bado hajafanikiwa kutengeneza purity anayoitaka. Angalia safari ya Wana wa Israel na Mungu wao jinai shetani alivyowakengeusha mara zote. Mpaka Mungu alitaka kuwafyekelea mbali jangwani. Bila jitihada za Musa kumwambia Mungu awaache wasingekuwepo.

Kwa mifano hii na mingine mingi utatambua kuwa shetani siyo Lele mama, ila wakristo Wana mu underate sana.
 
Mkuu shetani siyo Lele mama. Nakupa mifano michache tu ujue ukuu wake na nguvu iliyoko kwake.

1. Kumbuka mkasa wa shetani na Ayubu. Ukifuatilia mazungumzo ya Mungu na shetani, utagundua shetani ana nguvu sana. Mungu alimsihi sana Asiutwae uhai wa Ayubu (asimuue). Kwa lugha nyingine Mungu hawezi kuzuia shetani asikuondoe hata kama unautakatifu wa kiwango Chote.

2. Kumbuka vita iliyopiganwa mbinguni. Fahamu nini maana ya vita kwanza. Haukuwa mchezo wa kuigiza. Ilimaanisha kumuua. Ama afe shetani au Mungu apinduliwe. Pamoja na vita kupiganwa sana huko mbinguni bado Mungu alishindwa kumuua shetani na malaika zake. Akashuka huku duniani na

3. Mipango mingi ya Mungu imekuwa ikitobuliwa na kuharibiwa na shetani. Angalia Mungu ameangamiza mara ngapi wanadamu. Lakini bado hajafanikiwa kutengeneza purity anayoitaka. Angalia safari ya Wana wa Israel na Mungu wao jinai shetani alivyowakengeusha mara zote. Mpaka Mungu alitaka kuwafyekelea mbali jangwani. Bila jitihada za Musa kumwambia Mungu awaache wasingekuwepo.

Kwa mifano hii na mingine mingi utatambua kuwa shetani siyo Lele mama, ila wakristo Wana mu underate sana.
1. Lkn Ayubu aliibuka kidedea!...shetani lile halina akili, linalipuka hovyo km moto wakifuu! na matisho meeengi! lilidhania linapigana na ayubu kweeli kuuumbe lilikuwa jiwe tu lile!

2.vita ya mbinguni Shetani alishindwa vibaya sana! Mpaka leo yuko mafichoni kuzimu, anaogopa watu, zamani si alikuwa anatamba tu live?? lkn siku hizi utamuona wapi shetani?? ......

hata ivo shetani mwenyewe pamoja na ubabe wake wooote! anamuomba Mungu ili awachape vizuri wana damu dhaifu km wewe!...... kumbuka Ayubu Shetani alimuomba Mungu Rukhusa ya kumchpa Ayubu

na akapewa! sasa ndo ujue shetani alivo mjinga si kaenda kumchpa kweli!!!
hapo ndo ujue shetani hana akili nzuri kabisaa!!.......

hata kwa akili za kawaida tu......Mtu Tajiri/uwezo... tena adui yako akwambie nenda kamchape miti mke/mwanangu weeee! mpaka achubuke utakubali? ... tena Mungu akakazia hapo ila ''muachie roho yake tu??''... .....

ninavo kuona weye kwa msimamo km huu utakubali, lkn Mtu/adui mwenye akili timamu, kamwe hagusi, wala kupoteza muda huo! hapa nakuonyesha kuwa Shetani hana akili nzuri! hata sasa ivi anakucheka!

3.wale wanadamu walioangamizwa hawakuwa wana wa Mungu, walikuwa ni wana wa shetani kupitia Cain! yamkini hata weye ni mmoja wao hao !! ... sababu Biblia ina sema Mwanamke ni Mama wa viumbe vyooote!

4.Purity anayoitaka Mungu ndo sisi! lkn wana wa Ibilisi kupitia Cain kamwe hawataiona! wapo tena wengi tu! humu Duniani usidhani uko peke yako! nakupa mfano mwingine ESau alikuwa mwana wa Ibilisi yule! km jiwe tu!

5, Mungu yeye anakupa uhuru uchague unalo taka kufanya lkn adhabu yake anaiweka pia! kwa mfano km nyie mnao mkubali ibilisi! kuna ziwa la moto linawasubiri!....

mtalia sana na kusaga meno na muda wenu unakaribia na mwisho! shetani mnampenda sana
Sawa kabisa! lazima mumuogope tu!! hakuna namana lkn jiulize Ayubu alishinda au alishindwa Mkuu!
 
Ni kweli mkuu shetani hawezi kuwa na nguvu kuliko Yesu, lakini iko hivi:
Yesu kimwili ni Binadamu i.e alikua, aliishi sawa kama na sisi tunavyoishi.
Lakini Kiroho, Yesu ni Mungu na ndo maana ndiye aliyeumba vyote na Shetani analifahamu hilo na kukiri hivyo.

Kwa mantiki hiyo, Shetani alipambana na Yesu lakini ilikuwa ni kimwili zaidi na aliishia kuudhuru mwili.Hakuweza na Alishindwa kabisa Kiroho. Yesu alifufuka na kuvaa mwili usioharibika tena.
Huu ni uchale sasa😂😂😂 Mungu kafanyaje? Wakristo akili zenu bwana
 
Back
Top Bottom