Usiende ughaibuni kutafuta maisha
Passport yangu inakaribia kujaa mkuu...! Kitu ninacho zungumza Nina kiishi hivi sasa...!
Kumbe hilo ndio tatizo lako,now nimeelewa tatizo lako ni nini hasa,

JF ni pana sana ila unajiaminisha kua ni wewe tu ndio umesafiri sana! maisha hayana formula,failure zako haziwezi kua ndio failure za wengine,unaweza kua ni kweli umezunguka ila umekosa exposure,mizunguko yako imeshindwa kubadili mindset yako.
 
Unae ndugu au jamaa anae fanya kazi nje ya Tanzania...?
Mkuu acha kukariri maisha,kumbe huu uzi wako umeuleta ukijiaminisha kua hapa JF hakuna watu wanaopiga kazi abroad! kajipange upya,bado hujayajua maisha na hujawajua watu wa JF,

JF ina watu kutoka nchi mbalimbali tambua hilo kwanza,JF sio kijiji cha watu wanaoishi eneo moja.
 
Sio rahisi kama unavyo dhani...! Ila kwasababu umeshaamua karibu Mimi nitakuwa mpenzi mtizamaji...!

Upinzani uliopo UGHAIBUNI ni mkubwa mno...!
Kila penye riziki kuna upinzani wa hali ya juu. Uoga wako ndo umasikini wako. Mimi nashauri vijana tafuteni passport muondoke mkatafute maisha popote nje ya mipaka ya taifa letu.

By the way siku zote tambua; Siyo kila masikini ni mvivu na siyo kila tajiri anafanya kazi sana.
 
Watu wengi wanapenda kukariri kuwa maisha ni lazima ufanye hivi au vile, bila kuelewa au kukubali kuwa kati ya hivi na vile kuna njia nyingi tofauti zinazoweza kuwafaa watu tofauti walio katika hali tofauti za kiuchumi, kielimu, kiunri, etc.

Yani wanataka watu woote wafanye sawa kama ng'ombe wanaoswagwa na kwenda bila kufikiria.
 
h
Katika mapambano ya maisha muda mwingine watu tunakata tamaa, kukata tamaa huanzia ngazi ya mtu binafsi hapo utasikia nafsi inakwambia jiue😭😭😭, mtu huyo huyo anaweza kuikatia tamaa familia yake kwasababu haimsaidii wengi wao hujitenga na familia zao, Kisha anaikatia tamaa nchi yake kua haimsaidii hapo ndipo ndoto za kwenda ughaibuni zinapo zaliwa...!
View attachment 3209750
Katika mapambano ya maisha huwezi kutumia njia alio itumia mtu mwingine kufanikiwa na wewe ukafanikiwa, Kila mtu Kuna namna anajiona kuwa mbeleni huko atakuwaje...! Picha ya nani unataka kuwa unayo wewe mwenyewe kichwani mwako...usijilinganishe na yeyote na Wala usitamani kuwa yeyote kwa kudhani ukipita njia aliyo pita yeye utafanikiwa kama yeye...!

Vijana wengi wakifikia hatua ya kukata tamaa huwaza kukimbia nchi zao na kwenda kutafuta MAISHA ughaibuni wakidhani kule watapata mafanikio ya haraka, haraka...! Huku wakiwa wanasahau kuwa tafsiri sahihi ya mafanikio ni kuridhika na kukitunza kile kidogo ulicho nacho...kama kidogo huwezi kukitunza ujue hata kikubwa hutoweza kukimiliki...!
View attachment 3209760
Mafanikio ni uwezo wa KUMILIKI, siku utakayo weza kuwa walau na Laki 1 tu harafu usipate kimuhe muhe Cha kuitumia ukAihifadhi walau kwa muda wa mwezi tu... ujue umekomaa na muda sio Mrefu unaenda kufanikiwa...ila ukiwa mtu ambae ukishika PESA akili Zina kutoka Hadi hiyo pesa iishe ndio akili zinarudi...MY FRIEND USIENDE UGHAIBUNI 😂😂

Mimi ni miongoni mwa vijana ambao nilihangaika sana kuyatafuta maisha nikasahau kuwa maisha hayaitaji hasira, yanahitaji umakini na ukichaa kidogo😂😂😂

Vijana wengi tunafeli mno kwakuwa wengi wetu akili zetu zimefungwa na JERA hatari la AJIRA, tunasahau kuwa AJIRA haiwezi kufanya uwe tajiri ila zipo fursa kadha wa kadha ambazo ukizifanya kwa ufasaha unafanikiwa maishani...!

Vijana wengi tunapoteza muda mwingi kutafuta AJIRA, na wengi wa vijana wanao taka kwenda ughaibuni lengo lao ni kusaka AJIRA...!

Ndani ya nchi yetu Kuna fursa ambazo wakenya, wachina, Warundi, Wakongo wanazitumia na Zina watoa ki maisha...pindi ambapo unawaza kwenda kutafuta MAISHA nchi za ugenini Kuna watu hapa hapa nyumbani ni MATAJIRI na wametajilikia hapa hapa na hawajawahi kwenda hata Kenya Wala passport ya kusafiria hawana...!
View attachment 3209765
Swala la AJIRA ni ugonjwa wa Dunia nzima Tanzania sio nchi ya kwanza ambayo inashindwa kutoa AJIRA... Marekani yenyewe Ina wamarekani ambao ni masikini wakutupwa Awana hata sehemu ya kulala...!

Nimezunguka duniani nimegundua kuwa nchi yetu imejaaliwa sana, Ina Kila kitu Cha kumfanya mtu atajilike bila kutegemea AJIRA...! Karibia nchi yote ya Tanzania ardhi yake Ina rutuba, tofauti na nchi jirani au nchi nyingine...!

Leo hii wakenya ni vinara wa kuuza mazao ulimwenguni huku mazao hayo wanayatoa Tanzania...😭😭😭

Ni kushauri tu kijana mwenzangu USIENDE UGHAIBUNI KUTAFUTA badala yake tafuta pesa kwa kufanya biashara Kisha kupitia biashara zako vuka mipaka ukafanye biashara...! Toa bidhaa Tanzania peleka nchi zenye uhitaji...! Toa bidhaa huko lete Tanzania...!

UGHAIBUNI ukienda na pesa zako fursa nyingi utaziona, ila ukienda UGHAIBUNI kubahatisha maisha wewe ni sawa na mkimbizi...!


Katika mapambano ya maisha muda mwingine watu tunakata tamaa, kukata tamaa huanzia ngazi ya mtu binafsi hapo utasikia nafsi inakwambia jiue😭😭😭, mtu huyo huyo anaweza kuikatia tamaa familia yake kwasababu haimsaidii wengi wao hujitenga na familia zao, Kisha anaikatia tamaa nchi yake kua haimsaidii hapo ndipo ndoto za kwenda ughaibuni zinapo zaliwa...!
View attachment 3209750
Katika mapambano ya maisha huwezi kutumia njia alio itumia mtu mwingine kufanikiwa na wewe ukafanikiwa, Kila mtu Kuna namna anajiona kuwa mbeleni huko atakuwaje...! Picha ya nani unataka kuwa unayo wewe mwenyewe kichwani mwako...usijilinganishe na yeyote na Wala usitamani kuwa yeyote kwa kudhani ukipita njia aliyo pita yeye utafanikiwa kama yeye...!

Vijana wengi wakifikia hatua ya kukata tamaa huwaza kukimbia nchi zao na kwenda kutafuta MAISHA ughaibuni wakidhani kule watapata mafanikio ya haraka, haraka...! Huku wakiwa wanasahau kuwa tafsiri sahihi ya mafanikio ni kuridhika na kukitunza kile kidogo ulicho nacho...kama kidogo huwezi kukitunza ujue hata kikubwa hutoweza kukimiliki...!
View attachment 3209760
Mafanikio ni uwezo wa KUMILIKI, siku utakayo weza kuwa walau na Laki 1 tu harafu usipate kimuhe muhe Cha kuitumia ukAihifadhi walau kwa muda wa mwezi tu... ujue umekomaa na muda sio Mrefu unaenda kufanikiwa...ila ukiwa mtu ambae ukishika PESA akili Zina kutoka Hadi hiyo pesa iishe ndio akili zinarudi...MY FRIEND USIENDE UGHAIBUNI 😂😂

Mimi ni miongoni mwa vijana ambao nilihangaika sana kuyatafuta maisha nikasahau kuwa maisha hayaitaji hasira, yanahitaji umakini na ukichaa kidogo😂😂😂

Vijana wengi tunafeli mno kwakuwa wengi wetu akili zetu zimefungwa na JERA hatari la AJIRA, tunasahau kuwa AJIRA haiwezi kufanya uwe tajiri ila zipo fursa kadha wa kadha ambazo ukizifanya kwa ufasaha unafanikiwa maishani...!

Vijana wengi tunapoteza muda mwingi kutafuta AJIRA, na wengi wa vijana wanao taka kwenda ughaibuni lengo lao ni kusaka AJIRA...!

Ndani ya nchi yetu Kuna fursa ambazo wakenya, wachina, Warundi, Wakongo wanazitumia na Zina watoa ki maisha...pindi ambapo unawaza kwenda kutafuta MAISHA nchi za ugenini Kuna watu hapa hapa nyumbani ni MATAJIRI na wametajilikia hapa hapa na hawajawahi kwenda hata Kenya Wala passport ya kusafiria hawana...!
View attachment 3209765
Swala la AJIRA ni ugonjwa wa Dunia nzima Tanzania sio nchi ya kwanza ambayo inashindwa kutoa AJIRA... Marekani yenyewe Ina wamarekani ambao ni masikini wakutupwa Awana hata sehemu ya kulala...!

Nimezunguka duniani nimegundua kuwa nchi yetu imejaaliwa sana, Ina Kila kitu Cha kumfanya mtu atajilike bila kutegemea AJIRA...! Karibia nchi yote ya Tanzania ardhi yake Ina rutuba, tofauti na nchi jirani au nchi nyingine...!

Leo hii wakenya ni vinara wa kuuza mazao ulimwenguni huku mazao hayo wanayatoa Tanzania...😭😭😭

Ni kushauri tu kijana mwenzangu USIENDE UGHAIBUNI KUTAFUTA badala yake tafuta pesa kwa kufanya biashara Kisha kupitia biashara zako vuka mipaka ukafanye biashara...! Toa bidhaa Tanzania peleka nchi zenye uhitaji...! Toa bidhaa huko lete Tanzania...!

UGHAIBUNI ukienda na pesa zako fursa nyingi utaziona, ila ukienda UGHAIBUNI kubahatisha maisha wewe ni sawa na mkimbizi...!

"Ajira haiwezi Ku kufanya kuwa tajiri" Are you serious!? Kuwa, tajiri ni mchakato, it's a process not an event, ila ajira inaweza kuwa chanzo cha utajiri,
Kuna kampuni inaitwa, maktech, ipo Africana, mwenye kampuni alikuwa engineer Wa voda, early 2000+! Akaona fulsa, akiwa kazini, akajenga network, anatoka voda, akaanzisha kampuni, na mteja wake mkubwa akawa voda! The rest is history, unsposema ajira haiwezi, Ku kufanya kuwa tajiri, fafanua, kama ni ajira ya Tsh 300K kwa mwezi sawa! Lakini unapokea 9M take home, usiwe tajiri! Je mwanyika(mbunge Wa, njombe) aliyekuwa akipokea 100M kwa mwezi sio tajiri!?
Pls pls bro usilinganishe USA na Bongo kuhusu ajira! Nix kama ardhi na mbingu, bongo nafasi 14000 za, unlimited, wanaomba laki mbili!? Ubalozi Wa TZ USA, umeajiri watu wangapi raia Wa USA, linganisha na idadi ya Wa bongo walioajiliwa US Embassy Dar!
Ughaibuni kuna lipa Sana,
Sio kila mtu anataka kuwa kama Bakheresa, Mo au shabiby! Hata USA eron musk ni mmoja tu!
Ukitaka kuwa tajiri kama Dangote utakufa kihoro! Babu Wa Dangote alikuwa na private jet 1977!
 
Unapitia changamoto gani huko Dubai UAE mkuu ..?
 
Back
Top Bottom