Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Facts fikirishi. Nice message we have here. Na kweli binafsi kukitokeaga kamgogoro baina yangu na Mr afu tukausolve ndo ile mafeelings huwa yanazidi aisee.

Kuna kaka angu mmoja alinipaga tip ambayo naishi nayo kibingwa akanitelli, "mademoiselle usimfanye mme wako kihongwe mdogo wangu. Tambua nafasi yako. Usimpigie makelele. Usiwe stress kwake. Akija kuniomba ushauri juu ya ujinga utakaomletea nitamwambia ondoka hapo kwa muda. Yani ondoka usiku usiku, tafuta mahali pa kwenda au kulala hata ni lodge. Asubuhi nenda kazini. Ukitoka pita nyumbani salimia acha hela afu beba nguo na viatu kwenye kibegi. Yani akuonyeshe kwamba ana mwanamke mwingine ili uhahe. Na sitakusaidia. Wewe simama kwenye nafasi yako af sometimes jifanye fala. Uone kama mwanaume hatakupenda."

Kuna muda tunatakiww tuwe mafala na tufunge macho. Tukiapply kanuni ya upole na hekima ama kunyamaza sometimes. Afu kuendelea kusimama katika nafasi zetu. Its the best remedy. Mwanaume hata awe dikteta vipi. Mwanamke akiwa mtii, mpole na mnyenyekevu udikteta hauna nguvu. Maana hata akija kukuaattack anakukuta na samahni kibao. Au pole kibao. Na akifanya jambo makusudi kucheck reaction anakukuta umetulia na kunyamaza kama sio wewe. Tena kama huoni. Atajiona mpumbavu. Atafanya yaliyo sawa. Utakua umeua ndege wawili kwa jiwe moja. Kupendwa zaidi na yeye kujirekebisha. Thinkin out loud here....
Sura yako ichorwe kwenye yale mawe ya ziwa victoria kama ukumbusho wa Super woman
 
Hak
Umesahau kuwashauri kwamba wahakikishe hawa fall in love.

Wanaume mkipenda vizuri mnakuwa mazoba na nikuhakikishie palipo kupenda kweli hayo yote uliyowashauri hayafanyi kazi.

Mkifinyiwa kwa ndani mara mbili tatu mnasahau kanuni zote halafu kanuni za mwanamke ndio zinaingia kazini.
Mhh nina mashaka
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


[emoji117]Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

[emoji117]Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

[emoji117]Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

[emoji117]Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

[emoji117]Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

[emoji117]Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

[emoji117]Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
Hata biblia inasema Wanaume wapendeni wake zetu, nanyi wake watiini waume zenu

Mume ni kichwa cha familia
 
Hata biblia inasema Wanaume wapendeni wake zetu, nanyi wake watiini waume zenu

Mume ni kichwa cha familia


Kabisa kabisa Joseverest "Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee"

KUPENDA ni KUTOA
Na mwanaume yeyote mwenye kupenda kweli anatiiwa sana sana
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


👉Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

👉Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

👉Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

👉Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

👉Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

👉Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

👉Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
,💯
 
Mnacomplicate sana mambo aiseee... mahusiano sio serious hivyo, wengine tunaishi nao wala hawacomplicate mambo mnaenjoy tu maisha na heshima ipo automatically bila shuruti.
Watu wawili matured wenye nia ya kujenga familia na wanaosimamia nafasi zao accordingly wala haya magazeti haya maana.

Mahusiano yanajitune yenyewe kulingana na hali za watu husika.

Eti "TIA MAKOFI" upuuzi mtupu ni binti yako huyo?
 
bado maadui wa kweli kwenye maisha ya mtanzania ni tumbo na mahusiano
 
Kuna watu wanasema uvumilie ili amani iwepo kwenye mahusiano, sijui wanavumiliaga nn, Ukizingua inabid uzinguliwe kweli akili ikukae sawa
 
usikwepe migogoro, nasisitiza hii ni point ya msingi sana kwa afya ya mahusiano..😊
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


👉Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

👉Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

👉Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

👉Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

👉Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

👉Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

👉Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
Uko sahihi ,ubarikiwe
 
Piga ua galagaza utawanasa wanawake maskini tu ndugu yangu; Mwanamke mw hela zake kamwe hatoweza kunyanyaswa na huo uanaume wako; pili km bado kijana na mzuri ndo kabisa more likely kukupiga chini Wewe kwa mtu mwingine. Naona insecurity tu hapo cjui umfanye nn cjui nn why all that energy na maisha mafupi Ivi? Tafuta unayeendana na ambaye anapenda izo roles or else it will be chaos tu; na kwa wanaume wa maskini au wenye kipato cha kawaida it doesn't work eti yeye alete kila kitu coz hawezi afford so men need help kw women sana for most cases. Hao akina Dewji na matajiri wengine ndo wanaweza ku afford mwanamke abaki ndan and mwanaume aprovide kila kitu. Ila mwenzenu na nyie laki 5 kwa mwez na watoto unataka abaki ndan akuabudu kila cku???😝😝😝
 
You must be talking from your own experience.Bt umenena ukweli mtupu.
Umesahau kuwashauri kwamba wahakikishe hawa fall in love.

Wanaume mkipenda vizuri mnakuwa mazoba na nikuhakikishie palipo kupenda kweli hayo yote uliyowashauri hayafanyi kazi.

Mkifinyiwa kwa ndani mara mbili tatu mnasahau kanuni zote halafu kanuni za mwanamke ndio zinaingia kazini.
 
Back
Top Bottom