Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Sasa Marioo, ni mwanaume?.
Hiyo mtajua wenyewe. Ila una hela za dagaa, umemkuta mwanamke ana maisha yake unataka umpande kichwani. Kwani kuachana shillingi ngapi. Nna rafki yangu ni head of project kwenye NGO kubwa sana. Ana date na mkaka mwaka wa sita hana kazi, anaishi nae aisee huyo kaka ana amri sio poa, nyumba ni ya mwanamke ila hataki ndugu wa mkewe pale, alifika hatua akataka mshahara wa mkewe aupangie matumizi yeye. Eti kisa mwanaume🤣 ndo maana kuna sampuli huwa nazidharau sana yani gari la mwanamke, mali zake, anamvisha. Na anasaidia hadi ukweni ila jamaa boya. Na humu jf yupo kuna siku alijichanganya akafungua code🤣 mada anazotoa ni za amri. Huwa nacheka kinoma. Ipo siku nitamtaja
 
Sauti iwafikie wanaume wote wanaoogopa wanawake
Jidanganye madikteta hawadumu kabisa!

Akikuona kero anakumaliza ana baki kula na Watoto mali ulizoacha!!

Tuishi nao KWA akili,ukiona amechange motion achana nae anzisha mengine!

Mwanamke aki change ame change huwezi mrudisha na akirudi amechoka Sana!

-Mi ni muumini wa demokrasia tu,hataki unaacha simple TU!!
 
Hii 50/50 niseme ukweli hata mm inaniboa aise Niko mwenyew nakula navaa nafanya mambo yangu ya kimaendeleo lakini kunamuda kichwa kinapata moto yaani balaa kunavitu siviwezi hata nikiviwaza naona kbisa Nimejiover dose Kuna gape mahali wanawezaje hii 50/50 au mm ndo sijaielewa


Hamnaga hiyo, ila kuna usaidizi tu kwa mwenzako pale unapoona labda anateseka kwa jambo fulani na usaidizi sio lazima, ni suala la mwanamke kujiongeza.
Msingi mkubwa ni utii, heshima na kusikiliza mumeo.
 
Mkuu Kuna kupenda Kwa dhati na kweli yaaan hutaki kumchezea Binti wa mtu.


Sasa generally ninachomaanisha hapo hata kama umeamua kupenda Kwa kweli, hata kama ni mkeo... USIFANYE HAYO MAKOSA TAJWA JUU.
Haiwezekaniki, ukishapenda yote uliyoyataja hayana maana
 
Hamnaga hiyo, ila kuna usaidizi tu kwa mwenzako pale unapoona labda anateseka kwa jambo fulani na usaidizi sio lazima, ni suala la mwanamke kujiongeza.
Msingi mkubwa ni utii, heshima na kusikiliza mumeo.
Kweli kabisa haya mengine yanatuharibia tu
 
Eti unampiga na vibao, hawa wanawake wa siku hizi sio sampuli ya mama zetu.

Hawa wa sasa muwashe kibao uone ataenda kugawa uroda huko mpaka ushangae. Vijana huko nje wana peti peti sio poa[emoji23][emoji23]

Enewei Tumia njia unazoona sahihi kulingana na nature ya mtu ulienae. Kuna watu hizo njia zako zitafanya kazi na kuna wengine hazitafanya kazi. Inategemea na mtu wako
 
Hiyo mtajua wenyewe. Ila una hela za dagaa, umemkuta mwanamke ana maisha yake unataka umpande kichwani. Kwani kuachana shillingi ngapi. Nna rafki yangu ni head of project kwenye NGO kubwa sana. Ana date na mkaka mwaka wa sita hana kazi, anaishi nae aisee huyo kaka ana amri sio poa, nyumba ni ya mwanamke ila hataki ndugu wa mkewe pale, alifika hatua akataka mshahara wa mkewe aupangie matumizi yeye. Eti kisa mwanaume[emoji1787] ndo maana kuna sampuli huwa nazidharau sana yani gari la mwanamke, mali zake, anamvisha. Na anasaidia hadi ukweni ila jamaa boya. Na humu jf yupo kuna siku alijichanganya akafungua code[emoji1787] mada anazotoa ni za amri. Huwa nacheka kinoma. Ipo siku nitamtaja
Sasa huyo dada mwenye hela hivo si amfungulie mwenzio biashara, anaona raha kumfuga huyo mume.
 
Back
Top Bottom