Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Ao viumbe hawana Maana
Hakuna kuishi Kama mtumwa ni kukataa Ndoa tu
Wanaume ndo wana maana? Dharau hizi ndo maana mnapumbazwaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ao viumbe hawana Maana
Hakuna kuishi Kama mtumwa ni kukataa Ndoa tu
Sasa Marioo, ni mwanaume?.Mwanaume ufanye yote hayo ila uwe na hela. Sio marioo
Hiyo mtajua wenyewe. Ila una hela za dagaa, umemkuta mwanamke ana maisha yake unataka umpande kichwani. Kwani kuachana shillingi ngapi. Nna rafki yangu ni head of project kwenye NGO kubwa sana. Ana date na mkaka mwaka wa sita hana kazi, anaishi nae aisee huyo kaka ana amri sio poa, nyumba ni ya mwanamke ila hataki ndugu wa mkewe pale, alifika hatua akataka mshahara wa mkewe aupangie matumizi yeye. Eti kisa mwanaume🤣 ndo maana kuna sampuli huwa nazidharau sana yani gari la mwanamke, mali zake, anamvisha. Na anasaidia hadi ukweni ila jamaa boya. Na humu jf yupo kuna siku alijichanganya akafungua code🤣 mada anazotoa ni za amri. Huwa nacheka kinoma. Ipo siku nitamtajaSasa Marioo, ni mwanaume?.
Jidanganye madikteta hawadumu kabisa!Sauti iwafikie wanaume wote wanaoogopa wanawake
Yaani acha kwakweli mm inipite tu iyo 50/50😀
Hii 50/50 niseme ukweli hata mm inaniboa aise Niko mwenyew nakula navaa nafanya mambo yangu ya kimaendeleo lakini kunamuda kichwa kinapata moto yaani balaa kunavitu siviwezi hata nikiviwaza naona kbisa Nimejiover dose Kuna gape mahali wanawezaje hii 50/50 au mm ndo sijaielewa
Haiwezekaniki, ukishapenda yote uliyoyataja hayana maanaMkuu Kuna kupenda Kwa dhati na kweli yaaan hutaki kumchezea Binti wa mtu.
Sasa generally ninachomaanisha hapo hata kama umeamua kupenda Kwa kweli, hata kama ni mkeo... USIFANYE HAYO MAKOSA TAJWA JUU.
Kweli kabisa haya mengine yanatuharibia tuHamnaga hiyo, ila kuna usaidizi tu kwa mwenzako pale unapoona labda anateseka kwa jambo fulani na usaidizi sio lazima, ni suala la mwanamke kujiongeza.
Msingi mkubwa ni utii, heshima na kusikiliza mumeo.
Good GirlYaani acha kwakweli mm inipite tu iyo 50/50😀
Utakua lofaHaiwezekaniki, ukishapenda yote uliyoyataja hayana maana
Ke hupigwa vizuri tu tena baada ya kichapo hutoa vitumbua kwa Me zao kwa ushirikiano wa 100%Hiyo ya kwanza hiyo…eti unipige?? Hehee…thubutuuu ..umenizaa unipige? Ndo utanijua mimi nani na uso wako uliokunja.
🤣🤣🤣🤣🤭Hawa feminists Hawa, ndo wanaotuharibia Dunia.
Wee unadhan wazee wetu walidumu vipi huko zaman zao?.
Uanaume.
Sasa huyo dada mwenye hela hivo si amfungulie mwenzio biashara, anaona raha kumfuga huyo mume.Hiyo mtajua wenyewe. Ila una hela za dagaa, umemkuta mwanamke ana maisha yake unataka umpande kichwani. Kwani kuachana shillingi ngapi. Nna rafki yangu ni head of project kwenye NGO kubwa sana. Ana date na mkaka mwaka wa sita hana kazi, anaishi nae aisee huyo kaka ana amri sio poa, nyumba ni ya mwanamke ila hataki ndugu wa mkewe pale, alifika hatua akataka mshahara wa mkewe aupangie matumizi yeye. Eti kisa mwanaume[emoji1787] ndo maana kuna sampuli huwa nazidharau sana yani gari la mwanamke, mali zake, anamvisha. Na anasaidia hadi ukweni ila jamaa boya. Na humu jf yupo kuna siku alijichanganya akafungua code[emoji1787] mada anazotoa ni za amri. Huwa nacheka kinoma. Ipo siku nitamtaja