Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Huahahh hawa wakata ndoa wanatuzunguka wanaoa kimyakimya halafu wanakuja kua marriage consultants
Kijana taarifa zake ninazo,alikuwa huko mjini Dar es salaam miezi iliyopita akaondoka kwenda nje ya huo mji/jiji ,kumbe katafutiwa jiko huko anapikiwa na kulishwa na kulishwa tena ,sasa yamemkuta anajifanya kutoa ushauri hapa 🤣
 
Kijana taarifa zake ninazo,alikuwa huko mjini Dar es salaam miezi iliyopita akaondoka kwenda nje ya huo mji/jiji ,kumbe katafutiwa jiko huko anapikiwa na kulishwa na kulishwa tena ,sasa yamemkuta anajifanya kutoa ushauri hapa 🤣
Ahahahh af nimeoa kibibi hahah
 
Mateso yote hayo ya nini .

# Msiwege mnaoa
 
Mkuu ondoa shaka. "Namuagiza waziri mkuu na hili nalo akaliangalie"
 
Una hoja hawa wakishakuwa na hela ndio utajua Tabia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…