Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Acha kuoa utamtesa mtoto wa watu bure, atajitoa kwa ajili yako kumbe wewe haumuaminiWatamsaidia kule kama wakimshinda kulea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuoa utamtesa mtoto wa watu bure, atajitoa kwa ajili yako kumbe wewe haumuaminiWatamsaidia kule kama wakimshinda kulea
Sijawahi kukufunza tabia za ajabu kabisa,umetoa wapi?Unanikataa kabisa leo
Kijana taarifa zake ninazo,alikuwa huko mjini Dar es salaam miezi iliyopita akaondoka kwenda nje ya huo mji/jiji ,kumbe katafutiwa jiko huko anapikiwa na kulishwa na kulishwa tena ,sasa yamemkuta anajifanya kutoa ushauri hapa 🤣Huahahh hawa wakata ndoa wanatuzunguka wanaoa kimyakimya halafu wanakuja kua marriage consultants
Ahahah matmuzi mabaya ya matundaDildo vibrator zipo mwanawane usisahau na matango pia
People are dynamicKwanini uoe Kama humuamini unayetaka kumuoa?
Wenzio hawajali hilo. Hawataki kupa giwa muda wakurudi nyumbani au kuzabuliwa kofi pale wanapokoseaAhahah matmuzi mabaya ya matunda
Iyo ndio vizuriAcha kuoa utamtesa mtoto wa watu bure, atajitoa kwa ajili yako kumbe wewe haumuamini
Humu humu jf memberSijawahi kukufunza tabia za ajabu kabisa,umetoa wapi?
Ahahahh af nimeoa kibibi hahahKijana taarifa zake ninazo,alikuwa huko mjini Dar es salaam miezi iliyopita akaondoka kwenda nje ya huo mji/jiji ,kumbe katafutiwa jiko huko anapikiwa na kulishwa na kulishwa tena ,sasa yamemkuta anajifanya kutoa ushauri hapa 🤣
Sasa si wawaambie baba zao walio wazaaa wawaoe piaWenzio hawajali hilo. Hawataki kupa giwa muda wakurudi nyumbani au kuzabuliwa kofi pale wanapokosea
Bado watazabuliwa makofiSasa si wawaambie baba zao walio wazaaa wawaoe pia
Mateso yote hayo ya nini .Za maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Bas watulie watuheshimuBado watazabuliwa makofi
Na mbele yangu hapa kuna bibi anapita kwa maringo kweli, anafahamu ni shemeji yake mimi? Ngoja nikutumie picha yakeAhahahh af nimeoa kibibi hahah
Af cha asubuhi niwe napiga nyetoMateso yote hayo ya nini .
# Msiwege mnaoa
Ahahahaah naisubiri iyoNa mbele yangu hapa kuna bibi anapita kwa maringo kweli, anafahamu ni shemeji yake mimi? Ngoja nikutumie picha yake
Ninunue ng'ombe wa kazi wakati nyama tele zimejaa BuchaniAf cha asubuhi niwe napiga nyeto
Ahahahha nakubaliNinunue ng'ombe wa kazi wakati nyama tele zimejaa Buchani
Mkuu ondoa shaka. "Namuagiza waziri mkuu na hili nalo akaliangalie"Za maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Una hoja hawa wakishakuwa na hela ndio utajua Tabia zaoZa maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso