Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

kwanini usiwafungulie ndugu zako hilo duka kama unawaamini kuliko mkeo?
Wanabiashara zao na wao ndio wananipa za ndani kabisa kama ikitaka kuyumbua ua soko lipo vibaya sehemu zinazopatikana kwa bei nafuu yaani nikisema nina ndugu namaanisha sio hao ndugu zenu wenye uchu wa pesa
 
Wanawake wanawaambia watoto ujinga sana😁 sema kwa damu yangu mimi huo ujinga sidhani kama utafua dafu.

Nina binti yangu ambaye akikua atakuwa jembe langu hata mama yake akileta fyoko tutaishi tu mtu wa kunipikia na kunifulia yupo tayari. Mwanamke akizaa toto la kiume akalijaza ujinga ndio unakuwa umekula hasara full suit!
Kabisa ety unakuta mwanamke mmegimbana anawaambia watoto baba yenu mwenyewe malaya bila kumshika shati hatoi pesa ya matumizi wakati uho umemnyima hela ya kununua nguo ya kwenda nayo kwenye harusi ya mwanakikundi mwezie
 
Ni kweli anaweza hata akaangukiwa na ghorofa 🤣
Ahahahha na akakutumia sms waokoaji hawajanifikia nakuomba nikifa usioe mwanamke mwingine pleas sasa sijui nia yake uanze kupiga nyeto
 
Wew ni dictator na mbinafsi sijui unaona ukimshirikisha atafaidi wakati kuna wanawake ukiwashirikisha baadhi ya mambo ndio huzidi kuimarika
Badilika
Mh sio wote huyu wangu ata kuuza karanga hawezi
 
Asilimia kubwa ya migogoro inayovunja ndoa ni wanamke kuwa na financial freedom.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuendesha maisha yake bila msaada wa mwanaume lazima kiumane.
Kabisa sikupingi
 
Kuna mwamba alifanya hivi sasa hivi anakopa hela kwa watu ili tu asitumie hela za mke wake kumuonyesha kwamba hamtegemei..
Sifa kubwa ya mwanaume ni kupambana mkuu sio kubweteka
 
Ukiona mwanamke anakuwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kabla hajajipata ulikuwa humtunzi ipasavyo na kama unamtunza basi ni kwa manyanyaso.
Hivi ninyi mnatoshekaga?
 
Back
Top Bottom