Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Asa bloangu,unafikiri muda wote atakaa kama zuzu asijue hayo machaka?

Hana marafiki wenzie wanawake watakaomuelekeza hayo machocho?

Sometimes ni akili ya mtu tu,akiwa smart hawezi kuwa ni mpumbavu ingawaje matukio ni kweli yapo
 
Asa bloangu,unafikiri muda wote atakaa kama zuzu asijue hayo machaka?

Hana marafiki wenzie wanawake watakaomuelekeza hayo machocho?

Sometimes ni akili ya mtu tu,akiwa smart hawezi kuwa ni mpumbavu ingawaje matukio ni kweli yapo
Mimi wangu atakitaka kuondoka namgomea

Akitoka nipo nae
 
Kumchunga huyo kiumbe inataka moyo,usijitafutie kisukari cha lazima bure
Mimi siwezi pata kisukari kuna siku alitak kwenda kwenye harusi ya jirani usiku nikamwambia wewe toa mguu wako hapo nenda af mda wakurudi tafuta kwa kwenda mizigo utakuta ishafika kwenu hakwenda nilipo rudi nikamuonea huruma kakaa kinyonge sana nikamwambia jiandae tuondoke
 
Nadhani ushauri wa maana zaidi ni kama unataka kufunga ndoa / partner fahamu kwamba unapata mwenza, msaidizi wa kuongoza jahazi kwa kupata kwake ni msaada kwako na sio kwamba mnaungana ili kila mtu aende kivyake bali wote muende sawa....

Thus mnakuwa na Chenu na Sio Chako na Chake..., after all kama mna familia na yeye anasaidia matumizi well and good (ndio maana ya msaidizi) sasa usipompa apate alafu kila siku anakupigia kukuomba hapo umemkomoa nani ?
Uaminifu ni changamoto mkuu, atakaekupiga aji na alama usoni
 
Za maamko

Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu

Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa

Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali

Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba

Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
unapomuoa unakuta mzani wa mahusiano umebalansi, ukimfungulia biashara maana yake unaongeza uzito katika upande wake, na unapunguza kwako. Uache mzani ubalansi kama ulivyoukuta. Hao mbwa hawana shukrani, kamuulze Adam na Samsoni.


unaweza kumnunulia gari ya millions 100, akapigwa machine na mziba pancha, tena humo humo gereji kwenye magari mabovu
 
unapomuoa unakuta mzani wa mahusiano umebalansi, ukimfungulia biashara maana yake unaongeza uzito katika upande wake, na unapunguza kwako. Uache mzani ubalansi kama ulivyoukuta. Hao mbwa hawana shukrani, kamuulze Adam na Samsoni.
Demi unaitwa uku
 
Za maamko

Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu

Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa

Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali

Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba

Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Ungeandika kwa HERUFI KUBWA vijana hawa wakupigia magoti wanawake wakati wakichumbiana hawatakuelewa
 
Back
Top Bottom