Usifanye watoto wako wachukie wajomba na baba zao wadogo kwa matatizo yako 😊

Usifanye watoto wako wachukie wajomba na baba zao wadogo kwa matatizo yako 😊

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
USIFANYE WATOTO WAKO WACHUKIE WAJOMBA NA BABA ZAO WADOGO KWA MATATIZO YAKO 😊

1.Ukishindwa kuwasomesha wakulaumiwa ni wewe sio wajomba.
2 Wakikuta milo yako ni ya kubahatisha wa kulaumiwa ni wewe kwa 100%
3 Wakikuta una chumba kimoja mnabanana humo wa kulaumiwa ni wewe na sio mjomba aliyeshindwa kukujsaidia kujenga nyumba.


KUNA MAMBO YANATAKA WAJIBU WAKO KWA 100% WENGINE WAKUSAIDIE TU WAKIJISIKIA NA USIWALAUMU WAKISHINDWA.

Kuhudumia watoto wako ni jukumu lako kwa 100% na tena hutakiwi kulalamika kwenye hilo kwa sababu hawakukulazimisha uwazae , ikitokea kuna mtu anakusaidia shukuru na isipotokea hayupo usilaumu maana hilo ni jukumu lako 100%.

KAMA WANGEJUA HAUKO TAYARI KUWAHUDUMIA WASINGEKUCHAGUA IKIWA WANGEPEWA HIYO NAFASI

Acha kuwamezesha sumu watoto kuwa wana ndugu tajiri ila hawawasaidii bali waambie tu ukweli kuwa wewe ndio umeshindwa kuwasaidia kwa sababu ni wajibu wako kwa 100%

#Instagram@fikia ndoto zako.
 
HATA YESU ALIKUJA KUTUSAIDIA SISI DUNIANI KWA HIYO KUMBUKA KUSAIDIANA NI MUHIMU MKIWA KAMA NDUGU KATIKA DUNIA HII NGUMU

Mpende jirani Yako YESU Hakumaanisha jirani mlie jenga wote karibu No Jirani wa Kwanza Ni Nduguyo then wanafuata wengine (please don't skip)
 
HATA YESU ALIKUJA KUTUSAIDIA SISI DUNIANI KWA HIYO KUMBUKA KUSAIDIANA NI MUHIMU MKIWA KAMA NDUGU KATIKA DUNIA HII NGUMU

Mpende jirani Yako YESU Hakumaanisha jirani mlie jenga wote karibu No Jirani wa Kwanza Ni Nduguyo then wanafuata wengine (please don't skip)
Usiwe na watoto wengi kwa kuamini kuna watu watakusaidia au kwa kuamini kuna elimu bure utakuja kutoa lawama zisizo na sababu.
Nchi za kijamaa zinatatizo la watu kutowajibika kwa masuala yao binafsi wakilazisha yawe ya jamii mzima.
 
Usiwe na watoto wengi kwa kuamini kuna watu watakusaidia au kwa kuamini kuna elimu bure utakuja kutoa lawama zisizo na sababu.
Nchi za kijamaa zinatatizo la watu kutowajibika kwa masuala yao binafsi wakilazisha yawe ya jamii mzima.
Kusomesha au kuajiboka kwa familia yako sio hidadi ya watoto ni mindset au hulka ya baba, kuna mtu ana watoto wawili ila hawasomi wanao soma wànaenda shule za msingi za ummah na kuna mgine wstoto sita kazi ile ile wote wanasoma private school acheni kukalili maisha.
 
Umeongea kweli tupu mkuu kuna mtu anamlaumu ndugu yake mpaka unajiuliza au waliwekea mkataba kwamba azae na atamsaidia kulea maana lawama zimekua kubwa sana mpaka inakuwa kama uadui
 
HATA YESU ALIKUJA KUTUSAIDIA SISI DUNIANI KWA HIYO KUMBUKA KUSAIDIANA NI MUHIMU MKIWA KAMA NDUGU KATIKA DUNIA HII NGUMU

Mpende jirani Yako YESU Hakumaanisha jirani mlie jenga wote karibu No Jirani wa Kwanza Ni Nduguyo then wanafuata wengine (please don't skip)
Yesu mwenyewe aliona asiwe na watoto
 
Kweli kabisa, vipi na wale wanaume wanazalisha na kukimbia hao tuwafanyeje? maana wanatupa lawama za bure wajomba
 
USIFANYE WATOTO WAKO WACHUKIE WAJOMBA NA BABA ZAO WADOGO KWA MATATIZO YAKO 😊

1.Ukishindwa kuwasomesha wakulaumiwa ni wewe sio wajomba.
2 Wakikuta milo yako ni ya kubahatisha wa kulaumiwa ni wewe kwa 100%
3 Wakikuta una chumba kimoja mnabanana humo wa kulaumiwa ni wewe na sio mjomba aliyeshindwa kukujsaidia kujenga nyumba.


KUNA MAMBO YANATAKA WAJIBU WAKO KWA 100% WENGINE WAKUSAIDIE TU WAKIJISIKIA NA USIWALAUMU WAKISHINDWA.

Kuhudumia watoto wako ni jukumu lako kwa 100% na tena hutakiwi kulalamika kwenye hilo kwa sababu hawakukulazimisha uwazae , ikitokea kuna mtu anakusaidia shukuru na isipotokea hayupo usilaumu maana hilo ni jukumu lako 100%.

KAMA WANGEJUA HAUKO TAYARI KUWAHUDUMIA WASINGEKUCHAGUA IKIWA WANGEPEWA HIYO NAFASI

Acha kuwamezesha sumu watoto kuwa wana ndugu tajiri ila hawawasaidii bali waambie tu ukweli kuwa wewe ndio umeshindwa kuwasaidia kwa sababu ni wajibu wako kwa 100%

#Instagram@fikia ndoto zako.
Si-support watu kuwafanya watoto wao wachukie wajomba na baba wadogo. Lakini pia si-support mtu kuhudumia nyumba ndogo huku una mtoto wa ndugu yako aliyefaulu kupita kiasi kwenda chuo au form five na amekosa nauli ya kwenda shule lakini hautaki kumpa. Nimeshuhudia mtu aliyefaulu vizuri form six lakini alichagua education chuoni ili apate uhakika wa mkopo ili asaidie ndugu zake. Lakini huyu jamaa mjomba yake alikuwa waziri ofisi ya Rais enzi za Kikwete.
 
Kwani kuna mtu kalalamika kuwa hasaidiwi na hao uliowataja?
 
Si-support watu kuwafanya watoto wao wachukie wajomba na baba wadogo. Lakini pia si-support mtu kuhudumia nyumba ndogo huku una mtoto wa ndugu yako aliyefaulu kupita kiasi kwenda chuo au form five na amekosa nauli ya kwenda shule lakini hautaki kumpa. Nimeshuhudia mtu aliyefaulu vizuri form six lakini alichagua education chuoni ili apate uhakika wa mkopo ili asaidie ndugu zake. Lakini huyu jamaa mjomba yake alikuwa waziri ofisi ya Rais enzi za Kikwete.
Vina uhusiano gani?
 
USIFANYE WATOTO WAKO WACHUKIE WAJOMBA NA BABA ZAO WADOGO KWA MATATIZO YAKO 😊

1.Ukishindwa kuwasomesha wakulaumiwa ni wewe sio wajomba.
2 Wakikuta milo yako ni ya kubahatisha wa kulaumiwa ni wewe kwa 100%
3 Wakikuta una chumba kimoja mnabanana humo wa kulaumiwa ni wewe na sio mjomba aliyeshindwa kukujsaidia kujenga nyumba.


KUNA MAMBO YANATAKA WAJIBU WAKO KWA 100% WENGINE WAKUSAIDIE TU WAKIJISIKIA NA USIWALAUMU WAKISHINDWA.

Kuhudumia watoto wako ni jukumu lako kwa 100% na tena hutakiwi kulalamika kwenye hilo kwa sababu hawakukulazimisha uwazae , ikitokea kuna mtu anakusaidia shukuru na isipotokea hayupo usilaumu maana hilo ni jukumu lako 100%.

KAMA WANGEJUA HAUKO TAYARI KUWAHUDUMIA WASINGEKUCHAGUA IKIWA WANGEPEWA HIYO NAFASI

Acha kuwamezesha sumu watoto kuwa wana ndugu tajiri ila hawawasaidii bali waambie tu ukweli kuwa wewe ndio umeshindwa kuwasaidia kwa sababu ni wajibu wako kwa 100%

#Instagram@fikia ndoto zako.
Kama una nafasi yankusaidia ndugu zako wasaidie siwaache wadhalilike na pia usiwasaidie kwa kuwasimanga..
Umasikini sio iseee!
 
Vina uhusiano gani?
Unahangaika kutafuta mali kula na mademu na kuhudumia mahawara ukifa washikaji zako wanakuja kukomba mali kwa jina la watoto wako uliozaa na hawara. Ukiangalia hauna ndugu ambaye ana maisha mazuri na anaweza kutetea wanao. Unakufa unaacha ndugu hawana hata hela ya kufungua kesi na kuajiri wakili sembuse ya kuhonga Jaji. Kuna ile ishu ya Shamimu Mwasha na mumewe walipelekwa Jela ndugu zao wanaishi magomeni. Ilibidi watoto waondoke Mbezi Beach waende kuishi magomeni. Jamaa angewabeba ndugu zake wanae wangekuwa wanaishi maisha mema. Nimeona mengi sana kuna kiwanja nimenunua bei chee kwa sababu marehemu ameacha ndugu darasa la saba 😂 😂 😂 😂 . Ukiangalia mke hajui hata process za kuomba mkopo benki. Huku nyumba zake ndogo wengi ni mabaamedi. Kiulaini nikachukua kiwanja ni uzembe wetu sisi wanaume. Sisemi kuwa mimi ni mtakatifu lakini tukumbuke kumwomba Mungu atuepushie hili.
 
Back
Top Bottom