Usifanye watoto wako wachukie wajomba na baba zao wadogo kwa matatizo yako 😊

Usifanye watoto wako wachukie wajomba na baba zao wadogo kwa matatizo yako 😊

Unahangaika kutafuta mali kula na mademu na kuhudumia mahawara ukifa washikaji zako wanakuja kukomba mali kwa jina la watoto wako uliozaa na hawara. Ukiangalia hauna ndugu ambaye ana maisha mazuri na anaweza kutetea wanao. Unakufa unaacha ndugu hawana hata hela ya kufungua kesi na kuajiri wakili sembuse ya kuhonga Jaji. Kuna ile ishu ya Shamimu Mwasha na mumewe walipelekwa Jela ndugu zao wanaishi magomeni. Ilibidi watoto waondoke Mbezi Beach waende kuishi magomeni. Jamaa angewabeba ndugu zake wanae wangekuwa wanaishi maisha mema. Nimeona mengi sana kuna kiwanja nimenunua bei chee kwa sababu marehemu ameacha ndugu darasa la saba 😂 😂 😂 😂 . Ukiangalia mke hajui hata process za kuomba mkopo benki. Huku nyumba zake ndogo wengi ni mabaamedi. Kiulaini nikachukua kiwanja ni uzembe wetu sisi wanaume. Sisemi kuwa mimi ni mtakatifu lakini tukumbuke kumwomba Mungu atuepushie hili.
Jomba iko hivi


Baba na mama ikomboeni familia yenu kwa kila nyanja fulu stopu.
 
Jomba iko hivi


Baba na mama ikomboeni familia yenu kwa kila nyanja fulu stopu.
Mimi nitaendelea kununua viwanja na mashamba ya matajiri wajinga. Nakupa akili kaa vizuri na watu wa mjini kuna watu wana hela na wana wake ambao hawana hili wala lile. Ndugu zake wote choka mbaya, hapa ndipo tunapopatia mserereko wa viwanja vya bei rahisi. Fuatilia Kariakoo ilikuwa inamilikiwa na wakina nani na waliouza viwanja pale walikuwa wanawake au wanaume. Elimu muhimu sana kama wote ni wajinga mimi nafanya kazi ya Mungu wengine wajifunze. Sina shida na vitu vingine mimi ni nyumba, viwanja na mashamba.
 
Back
Top Bottom