Usiginwaji wa Katiba Bungeni: Watetezi wa Haki za Binadamu nchini walaani. Wawakumbushia umuhimu wa kila raia kuilinda Katiba ya Nchi

Tuwe wavumilivu bado wanaandaa hoja zisizopingana baina yao wenyewe
 
Katiba ya Ufipa inabakwa na DJ na hamsemi,,
Kila mtu ashinde mechi zake tukutane fainali
 
Mbona hao Mataga na Praise team wenyewe hawana tofauti na bendera! Wenyewe hufuata tu uelekeo wa upepo. Usije ukashangaa wakija kwa kasi huku wakiunga mkono hicho kitendo. Ndivyo walivyo siku zote! Wapo kama misukule tu.
Wako wanajifukiza (wanapiga nyungu) wakimaliza watajitokeza. Mhimili wa Bunge umedhalilishwa sana awamu hii ya tano.

Hili halina tofauti na Hospitali kuamua kukabidhi Uongozi kwa Mgonja badala ya Daktari. Aibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anuani ya mawasiliano na makazi tafadhali, yaani Tanzania au visiwa vya Tonga.
 
Chadema kimekuwa chama Cha hovyo sana
Walishindwaje kukaa kikao maalumu ili kuthibitibitisha kujivua kwa Mwambe ..

Yaani ofisi ya Spika iamini kikaratasi Cha Mnyika tu? Hovyo kabisa

Kwa Sasa Chadema wanachoweza ni kutukana,kukejeli na kubeza Serikali yetu tu

Wanajaribu kuanzisha utamaduni wa hovyo kabisa Kama ukoo wa Sultani wao
 
Haya mambo mwalimu NYERERE, aliyaona sana, ndio maana akasema binadamu anaweza akajifanya MUNGU mtu, na ndio kinachotokea na hiyo ni spika tu chanzo ni radio ipo sehemu nyingine kijijini imetulia, mambo yanaendeshwa kama mpira wa makaratasi?
Yaani imebidi nicheke msibani eti " ... hiyo ni spika tu chanzo ni redio ..."

Kwakweli subwoofer safari hii kaboronga sana kama masihara vile kaweka historia mpya katika bunge kwa vizazi na vizazi vijavyo ...

Bado nazidi kuthibitisha kwa Nini CCM inanunua vijana wa upinzani ilikuokoa nafasi za uongozi kwa sababu walioko huko ni Mandunga Embe matupu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hichi kitendo angekua nchi nyingine yoyote watu wangekua washaandamana spika aachie kiti, ila kwa kua ni Tanzania watu wanamezea tu, hili li nchi upumbavu wa watu ushanishinda, sirudi bongo kwa style hii, kuishi na washenzi namna hii inakera sana, tutaendelea kua masikini tu. Na jiwe yuko ovyo ila mshukuru sana akija mbovu zaidi ya jiwe bado atawapelekesha zaidi ya hivi na watanzania watamshangilia. Pumbavu kabisa
 
Iko siku tutachoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Tanzania sahau hili halitokuja kutokea, kuna watu hata hili wanamuunga mkono 100%. Nchi ambayo majority ni vilaza labda itokee kitu kiue 50% ya vilaza wote kitu ambacho ni impossible. Power play itazidi kua hivi Tanzania miaka na miaka. Ukichoka haisaidii huku majority ya nchi nzima wanaunga mkono
 
mnalaumu Spika bure tu....

fuatilia uone Nani kashika microphone
Lazima alaumiwe sababu amekaa anasikiliza mambo anajua si ya haki ila anafata tu, yeye si mtu mzima ana elimu anaweza kataa? Kama kiongozi wa muhimili unaojitegemea kukubali kuendeshwa na mtu mwingine lazima tumlaumu, kashikwa map****bu tu anatekenywa anacheka, jinga kabisa
 

Ni kweli mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio chama, Nami naamini kabisa ni vema katiba ingerekebishwa hapo kwamba mbunge ataendelea kuwa mbunge licha ya kuvuliwa uanachama mpaka atakapo maliza muhula wake lakini kwa sasa pasipo shaka katiba imekiukwa na ni lazima tuifate katiba, tukiamua juu juu kama unavofikiria wewe ni dalili mbaya kwa nchi inayoongozwa kwa katiba. Ni lazima tufate katiba
 
Tunamwomba Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajitokeze hadharani atafafanulie inakuwa Lazaro Nyalandu wa Ccm aliweza kupoteza Ubunge wake mara tu alipojiunga na Chadema na inakuwaje Cecil Mwambe wa Chadema aendelee kuwa Mbunge licha ya kujiunga na CCM.Njia aliyoitumia Mh.

Nyalandu ya kujiuzulu uanachama wake CCM na kujiunga Chadema kwa maana ya kuita Waandishi wa habari na ndio hiyo hiyo aliyoitumia Mh.Mwambe.Najiuliza Mwambe ni Mbunge wa Chama gani kati ya Chadema na CCM? Kama ni Chadema alikwisha jivua uanachama,kama ni CCM uchaguzi ulifanyika lini? Mwanasheria Mkuu wa Serikali hebu tusaidie tusiojua sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyalandu bado Mbunge wa CCM mkuu, yeye mwenyewe hataki tu kwenda Bungeni. Bunge letu safi chini ya uongozi makini wa bwana Ndugai, hata kama umestaafu wewe bado Mbunge tu labda ukifa ndio ukomo unafikia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…