Usihatarishe maisha yako kwa kuwatetea wapumbavu!

Ngono ni basic need, every human needs it wala sio makosa kaka!

Tuongee yote ila tusilichanganye hili tendo takatifu kama kosa

Hata yeye ni product ya hilo tendo.
 
I'd go a step further, usihatarishe maisha yako kufanya ujinga in the name of kutetea wanyonge au ni haki yako. Mtu ana choma picha ya Rais ili iwaje? Ni haki yako inaprove nini? Vijana wajue utakae umia ni wewe na familia yako.
 
Watu walishazoea kufanya mabaya,malipizi...Ivo wanachukulia kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…