Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Unakuta huyu anayepondea Dualis na Passo hana hata baiskeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moderators pelekeni huu uzi jukwaa la vichekesho. Topic kama hizi ndio zinatufanya watanzania tuonekane wajinga.Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.
Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark
Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.
Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.
Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.
Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
Nyapu uliyesoma na ku reply ndo mjinga.moderators pelekeni huu uzi jukwaa la vichekesho. Topic kama hizi ndio zinatufanya watanzania tuonekane wajinga.
Mbona hasira mkuuWe jamaa naona uchizi unaelekea kukomaa kabisa. Soon utashindikana kutibiwa kabisa,na utaanza kuingia barababrani kunusa makopo ya mikojo na kupuliza kondom za kuokota.
Huu uzi wa pili ndani ya siku nne unaandika pumba.
Watu wana makasiriko. Yaani kushindwa kwao kwa maisha wanataka hamishia kwa wengine. Na wengi wenye passo naona wameumia sana. But they should just relax mtu hujikuna anapofikia........mi nafikiri Jamaa alikuwa ana ujumbe na tahadhari nzuri tu kwa wadau kuhusu hizi gari mbili, sidhani kama kuna ubaya Kwa namna alivyowadilisha hoja yake kwa staili ya kuchekesha kidogo.......
.......tusiwe too emotional naona watu wanamuattack vibaya ila sijaona shida kubwa kwenye huu Uzi kama utazingatia ujumbe, hizo gari mbona zimeshalalamikiwa sana, tupunguze stress wakuu, akikasirika akatukana hapa tutaanza kulaumu tena.......
Dada wa passo... UmekasirikaHivi huwa mnalipwa kuandika pumba humu?
We nyapu kweli unafanana na kigari chako passo. Huna tofauti kabisa papuchi weweHili group sio la comedy,
We nyapu kweli unafanana na kigari chako passo. Huna tofauti kabisa papuchi weweHili group sio la comedy,
eenheee ikawaje dada wewe rete umbea tukusute bibi wewe .......[emoji108][emoji108][emoji108]Kuna jamaa yangu ana Passo aliinunua simce 2013 au 2014 hivi...
Mpaka hivi leo bado anayo au ushakaa juu ya mawe kitambo? Maana hizi gari watu wanalalamika ni majanga ,,lakin ninachoamini hakuna gari mbaya ila kuna matumizi mabaya ..ivo hata Passo ukitumia vizur kutokana na uwezo wake basi utadumu nayoKuna jamaa yangu ana Passo aliinunua simce 2013 au 2014 hivi...