whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Wapi huko, mbona huku kwetu diliyani passo siku izi hata house girls wanazikataa😂😂😂 bongonyoso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko, mbona huku kwetu diliyani passo siku izi hata house girls wanazikataa😂😂😂 bongonyoso
Vip kuhisu Rav 4 Short Chases?Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.
Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark
Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.
Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.
Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.
Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
Usinunue Rav 4 short chassis. Ya nini? Maana engine inabaki ni size ile ile tofauti ni body tu. Binafsi huwa sizipendi.Vip kuhisu Rav 4 Short Chases?
Mtu akinunua akitaka kuuza hapo Baadae wateja wapo kwel au ndio Ndoa ya Kikristu[emoji1][emoji2][emoji3][emoji1][emoji2]
Ni hasira tu. Wala hamna kingine. Hazipendi shidaJapo umeandika kikuda ila kuna ukweli, nimeshashuhudia mara 2 Dualis inawaka moto sijui hata zina tatizo gani
Hizo zilikua akili zako au za mmea, maana mmea huona visivyoonekana na wengine.Wa IST wanapita huku wanang'ata meno gari zao zisitajwe
ila leo nilikaa sehem nikaangalia IST inavyopita unaweza kusema kigari Cha mtoto kimefungwa kamba ndefu kinavutwa na mtoto alietangulia
We jamaa ni fala, unadhani thread yako inaweza kuathiri soko la hayo magari Tanzania?Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.
Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark
Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.
Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.
Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.
Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
Mwanaume halii lii kama wewe. Na kipasso chako umekaa kwenye gari kama boya. Bwege wewe... 🤣We jamaa ni fala, unadhani thread yako inaweza kuathiri soko la hayo magari Tanzania?
Acha sifa za kijinga, haikuwa na haja ya kujua ulisafiri kwa ndege kwenda huo mkoa.
Wanaume wa kweli hatujisifii kwa very cheap things like how you do in here.
Pathetic
Similiki Passo na haina haja ya kutaja gari ninazomiliki ingawa zote ni za Japan ila haukupaswa kuonesha dharau zako na majisifu yako wazi. Kama una hekima utaelewa nisemacho mkuu.Mwanaume halii lii kama wewe. Na kipasso chako umekaa kwenye gari kama boya. Bwege wewe... 🤣
Hekima ni neno pana sana. Hata kulielewa si kila mtu anaweza lielewa. Ni wachache sana huwa tunalielewa. Achana nalo its above youe pay grade. Nimeandika nlichoandika na nikiambiwa niandike naandika tena bila wasiwasi. Na hakuna mtu atafanya kitu.Similiki Passo na haina haja ya kutaja gari ninazomiliki ingawa zote ni za Japan ila haukupaswa kuonesha dharau zako na majisifu yako wazi. Kama una hekima utaelewa nisemacho mkuu.
acha sifa za kijinga ulitaka utueleze tu ulisafiri kwa ndege. kenge kweli we kuna gari unaifahamu? Hizo sifa zipeleke kijiweni kwenuNimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.
Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark
Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.
Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.
Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.
Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kuandika upupu km huu. Ndio maana wanawake wanadharau siku hizi.Sina uhusiano na kabila hilo na sioni linahusikaje kwenye hoja yangu
Hivi bado unaendelea kubishana? Kubali yaishe we ni pumbavuNadhani shida ni wewe unayekuja kula pumba. Yaani mimi najisaidia wewe unakuja kula.
Hivi bado unaendelea kunishana? Kubalk yaishe we ni shogahHivi bado unaendelea kubishana? Kubali yaishe we ni pumbavu
Kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kufanya ushoga km huoo. Ndo maana wanawake wanadharau siku hizi.kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kuandika upupu km huu. Ndio maana wanawake wanadharau siku hizi.