Usijaribu kununua haya magari mawili utalia kilio cha mbwa mdomo juu

Usijaribu kununua haya magari mawili utalia kilio cha mbwa mdomo juu

Huu ni ubaya wa hayo magari...
Mtwambie SASA na magari Bora Kwa kununua, yasiyo na USUMBUFU
 
Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.

Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark

Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.

Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.

Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.

Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
Vip kuhisu Rav 4 Short Chases?
Mtu akinunua akitaka kuuza hapo Baadae wateja wapo kwel au ndio Ndoa ya Kikristu[emoji1][emoji2][emoji3][emoji1][emoji2]
 
Vip kuhisu Rav 4 Short Chases?
Mtu akinunua akitaka kuuza hapo Baadae wateja wapo kwel au ndio Ndoa ya Kikristu[emoji1][emoji2][emoji3][emoji1][emoji2]
Usinunue Rav 4 short chassis. Ya nini? Maana engine inabaki ni size ile ile tofauti ni body tu. Binafsi huwa sizipendi.
 
Wa IST wanapita huku wanang'ata meno gari zao zisitajwe
ila leo nilikaa sehem nikaangalia IST inavyopita unaweza kusema kigari Cha mtoto kimefungwa kamba ndefu kinavutwa na mtoto alietangulia
Hizo zilikua akili zako au za mmea, maana mmea huona visivyoonekana na wengine.
 
Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.

Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark

Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.

Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.

Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.

Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
We jamaa ni fala, unadhani thread yako inaweza kuathiri soko la hayo magari Tanzania?
Acha sifa za kijinga, haikuwa na haja ya kujua ulisafiri kwa ndege kwenda huo mkoa.
Wanaume wa kweli hatujisifii kwa very cheap things like how you do in here.
Pathetic
 
Huyu jamaa sio chizi anawasoma tu atakuwa TISS huyu sio kawaida ndugu kaaeninae mbali
 
We jamaa ni fala, unadhani thread yako inaweza kuathiri soko la hayo magari Tanzania?
Acha sifa za kijinga, haikuwa na haja ya kujua ulisafiri kwa ndege kwenda huo mkoa.
Wanaume wa kweli hatujisifii kwa very cheap things like how you do in here.
Pathetic
Mwanaume halii lii kama wewe. Na kipasso chako umekaa kwenye gari kama boya. Bwege wewe... 🤣
 
Mwanaume halii lii kama wewe. Na kipasso chako umekaa kwenye gari kama boya. Bwege wewe... 🤣
Similiki Passo na haina haja ya kutaja gari ninazomiliki ingawa zote ni za Japan ila haukupaswa kuonesha dharau zako na majisifu yako wazi. Kama una hekima utaelewa nisemacho mkuu.
 
Similiki Passo na haina haja ya kutaja gari ninazomiliki ingawa zote ni za Japan ila haukupaswa kuonesha dharau zako na majisifu yako wazi. Kama una hekima utaelewa nisemacho mkuu.
Hekima ni neno pana sana. Hata kulielewa si kila mtu anaweza lielewa. Ni wachache sana huwa tunalielewa. Achana nalo its above youe pay grade. Nimeandika nlichoandika na nikiambiwa niandike naandika tena bila wasiwasi. Na hakuna mtu atafanya kitu.
 
Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda.

Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari. Akasema Yes anazo taarifa. Akanipa funguo nichukue gari nje. But kutoka nje sioni gari. Naona Passo tu imepark. Nikarudi kuuliza gari ipo wapi. Akaniambia hiyo hapo Passo. Daaah... Nikashtuka nikawaza basi ni mtie moyo shemeji yangu nikachukua nikaenda zangu Hotel. Nlipark

Passo vigari vina kisirani sana unaweza ukakaa hivi kakajiwasha. Unasikia tu kanyenyeee nyeeee kanyeeee nyeeeeeeeee vrruuuuum..... Halafu kanaendelea kunguruma. Basi unaenda una kazima. Ukiwa unarudi kukaa kanajiwasha tena. Yaani ili mradi kakukere tu.

Wakati mwingine upo barabarani kanasusa kanazima. For no apparent reason. Ukikawasha kanatetemeka kama kana degedege. Yaani ni shida tu kwa kweli.

Nikakumbuka Dualis hizi gari tunaziita Mnyalu. Zina hasira kinoma. Yaani kama wahehe tu. Unaweza ukapark nje ukakuta kamejitia moto. Unashangaa why? Basi tu ndo imeshaamua ife. Yaani kwa watu wengi sasa hivi Dualis wanazipark kwenye swimming pool au ndani ya bwawa la maji.

Maana watu wanakwambia at any tea time inaweza jitia kiberiti ikawaka moto ina hasira kama wahehe. Sasa watu wakipark wanahakikisha ni karibu na maji au wanaenda park pale kariakoo fire. Usije ukanunua hayo magari ni kichefu chefu sana.
acha sifa za kijinga ulitaka utueleze tu ulisafiri kwa ndege. kenge kweli we kuna gari unaifahamu? Hizo sifa zipeleke kijiweni kwenu
 
Sina uhusiano na kabila hilo na sioni linahusikaje kwenye hoja yangu
kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kuandika upupu km huu. Ndio maana wanawake wanadharau siku hizi.
 
kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kuandika upupu km huu. Ndio maana wanawake wanadharau siku hizi.
Kiufupi acha upumbavu huo, andika uzi unaoweza kutoa mchango kwa jamii na Taifa lako. Ona hata haya kufanya ushoga km huoo. Ndo maana wanawake wanadharau siku hizi.
 
Back
Top Bottom