Usijaribu kununua haya magari mawili utalia kilio cha mbwa mdomo juu

Chukua Chuma Hicho Uepuke Karaha Na Fedheha
MManual
4WD
Mafuta Inanusa

Haipitwi Na Fashion
Utulivu Barabarani, Inabeba Watu Vibonge
Popote Tanzania Unakwenda
Ukianzia Mtwara Mpaka Misenyi Kagera Bila Kuzima Zaidi Unaweka Fuel Tu
 
moderators pelekeni huu uzi jukwaa la vichekesho. Topic kama hizi ndio zinatufanya watanzania tuonekane wajinga.
 
kama ilikupeleka unakotaka inapendeza..... haya mengine vihoja tu
 
.......mi nafikiri Jamaa alikuwa ana ujumbe na tahadhari nzuri tu kwa wadau kuhusu hizi gari mbili, sidhani kama kuna ubaya Kwa namna alivyowadilisha hoja yake kwa staili ya kuchekesha kidogo.......
.......tusiwe too emotional naona watu wanamuattack vibaya ila sijaona shida kubwa kwenye huu Uzi kama utazingatia ujumbe, hizo gari mbona zimeshalalamikiwa sana, tupunguze stress wakuu, akikasirika akatukana hapa tutaanza kulaumu tena.......
 
sie wa daladala tunaona gari ni gari tu
 
We jamaa naona uchizi unaelekea kukomaa kabisa. Soon utashindikana kutibiwa kabisa,na utaanza kuingia barababrani kunusa makopo ya mikojo na kupuliza kondom za kuokota.

Huu uzi wa pili ndani ya siku nne unaandika pumba.
Mbona hasira mkuu
 
Watu wana makasiriko. Yaani kushindwa kwao kwa maisha wanataka hamishia kwa wengine. Na wengi wenye passo naona wameumia sana. But they should just relax mtu hujikuna anapofikia.
 
Kuna jamaa yangu ana Passo aliinunua simce 2013 au 2014 hivi...
Mpaka hivi leo bado anayo au ushakaa juu ya mawe kitambo? Maana hizi gari watu wanalalamika ni majanga ,,lakin ninachoamini hakuna gari mbaya ila kuna matumizi mabaya ..ivo hata Passo ukitumia vizur kutokana na uwezo wake basi utadumu nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…