Usijaribu kununua haya magari mawili utalia kilio cha mbwa mdomo juu

moderators pelekeni huu uzi jukwaa la vichekesho. Topic kama hizi ndio zinatufanya watanzania tuonekane wajinga.
We nyapu kweli unafanana na kigari chako passo. Huna tofauti kabisa papuchi wewe
 

Si ungeendesha lako toka dar unalolosifia, umaskini mbaya, mkishachukua mikopo ya 17,000 mkanunua forester mnaona mmefika sana, kuna fortuner ya 80m, na bado tukipewa hata lift ya toyo na jirani tunashukuru
 
jamaa amechekesha sana. ila ukweli, pamoja na kwamba yote ni magari na ushukuru kwa ulichojaaliwa na Mungu, ila passo unatakiwa kuwa na uvumilivu sana hasa kama njia zako sio za lami. utajuta.
 
🤣😅🤣 tatizo lenu WaTz mpo serious sana maisha... Mbona jamaa kawasilisha hoja ktk namna nzuri tu... Shida ni uelewa wenu tu mdogo
 
[emoji1787][emoji28][emoji1787] tatizo lenu WaTz mpo serious sana maisha... Mbona jamaa kawasilisha hoja ktk namna nzuri tu... Shida ni uelewa wenu tu mdogo
Alichowasilisha ni dharau na majivuno sio mada.
 
Si ungeendesha lako toka dar unalolosifia, umaskini mbaya, mkishachukua mikopo ya 17,000 mkanunua forester mnaona mmefika sana, kuna fortuner ya 80m, na bado tukipewa hata lift ya toyo na jirani tunashukuru
Sasa fortuna ya mil 80 nayo ni gari ya kutangazia watu? We papuchi kweli. Mi nlidhani utakuwa unataka andika kitu cha maana kumbe we nyapu tu.
 
Wa IST wanapita huku wanang'ata meno gari zao zisitajwe
ila leo nilikaa sehem nikaangalia IST inavyopita unaweza kusema kigari Cha mtoto kimefungwa kamba ndefu kinavutwa na mtoto alietangulia
 
Wa IST wanapita huku wanang'ata meno gari zao zisitajwe
ila leo nilikaa sehem nikaangalia IST inavyopita unaweza kusema kigari Cha mtoto kimefungwa kamba ndefu kinavutwa na mtoto alietangulia
🤣🤣🤣🤣
 
Nimecheka sana,kmmmke...ila sema unajua kuna vigari sio vya kuendesha..
 
Japo umeandika kikuda ila kuna ukweli, nimeshashuhudia mara 2 Dualis inawaka moto sijui hata zina tatizo gani
 
Mpaka hivi leo bado anayo au ushakaa juu ya mawe kitambo? Maana hizi gari watu wanalalamika ni majanga ,,lakin ninachoamini hakuna gari mbaya ila kuna matumizi mabaya ..ivo hata Passo ukitumia vizur kutokana na uwezo wake basi utadumu nayo

Ipo inatembea...
 
Japo umeandika kikuda ila kuna ukweli, nimeshashuhudia mara 2 Dualis inawaka moto sijui hata zina tatizo gani
Hasira tu. Hamna kingine. Gari zina hasira sana hazipendi kuendeshwa, hazipendi kulazimishwa mwendo. Hazipendi kunyanyaswa. So basi tu zinaamua bora zife.
 
Si ungeendesha lako toka dar unalolosifia, umaskini mbaya, mkishachukua mikopo ya 17,000 mkanunua forester mnaona mmefika sana, kuna fortuner ya 80m, na bado tukipewa hata lift ya toyo na jirani tunashukuru
Yap mkuu, hakuna haja ya kudharau kinachomsitiri mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…