Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

Mwanzo mzuri , tafuta mtaji au fanya mali kauli na wafanyabiashara , mteja akupe drop point ya mzigo wake , ukifikisha mzigo na mteja aki confirm anafanya malipo
 
Sijawahi ingia mitini ndugu yangu na haitatokea kwa jina la YESU KRISTO
Kwa jina la yesu siku imekuwa siyo kabisa maana watu wanasemankwa jina la yesu huku wanapapasa matiti
Natanguliza shukran zangu kwenu

Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana

Kikubwa tu tupendane
Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo

Pia na kwa wale wanaohitaji marobota au baroo za mtumba viatu na nguo na mikoba

NATEMBEZA PIA WATU AMBAO NI WAGENI HAPA DAR ES SALAAM MAENEO TOFAUTI, kwahiyo ukija dar usiogope sana

Kama unahitaji passport au unahitaji vizza nitakupeleka upate kwa wepesi au kama unasafilisha mzigo wako au kama Kuna mzigo wako umekwama tuwasiliane tusaidiane

Namba yangu ya cm 0621121351

Asantani sana
Kwamba unatumiwa pesa kabisa wewe ndio unaenda au unafanyaje toa ufafanuzi vizur
 
Asanten sana wana jamiiforum mumenipokea na kuniitikia vizuri sana

Mumenipa kazi nyingi sana nashukuru sana
 
Mwanzo mzuri , tafuta mtaji au fanya mali kauli na wafanyabiashara , mteja akupe drop point ya mzigo wake , ukifikisha mzigo na mteja aki confirm anafanya malipo
Kuna wengine ni waoga sana lakin Kuna wengine wanatuma tu pesa wala hawana hata shida kabisa

Lakini cha ajabu wale waoga ni wale wenye kuhitaji mzigo wa thamani ndogo sana
 
Kwa jina la yesu siku imekuwa siyo kabisa maana watu wanasemankwa jina la yesu huku wanapapasa matiti

Kwamba unatumiwa pesa kabisa wewe ndio unaenda au unafanyaje toa ufafanuzi vizur
Ndo changamoto ya siku hizi mtumish jina linatumika vibaya sana

Kama mzigo unahitaji unaweza kutuma pesa au kama unakuja mwenyewe unakuja mimi nakutembeza machimbo tu
 
Back
Top Bottom