kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Wewe unazani hujulikan siyo?Rubbish,
Wapi nimeshabikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unazani hujulikan siyo?Rubbish,
Wapi nimeshabikia?
Akivituma nitagIli utuhakikishie kuwa wewe ni mwaminifu tuoneshe ofisi zako zilipo na namba Yako ya kitambulisho Cha taifa(nida) ili ukitokomea na mizigo tupate pakuanzia
Kwa jina la yesu siku imekuwa siyo kabisa maana watu wanasemankwa jina la yesu huku wanapapasa matitiSijawahi ingia mitini ndugu yangu na haitatokea kwa jina la YESU KRISTO
Kwamba unatumiwa pesa kabisa wewe ndio unaenda au unafanyaje toa ufafanuzi vizurNatanguliza shukran zangu kwenu
Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana
Kikubwa tu tupendane
Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo
Pia na kwa wale wanaohitaji marobota au baroo za mtumba viatu na nguo na mikoba
NATEMBEZA PIA WATU AMBAO NI WAGENI HAPA DAR ES SALAAM MAENEO TOFAUTI, kwahiyo ukija dar usiogope sana
Kama unahitaji passport au unahitaji vizza nitakupeleka upate kwa wepesi au kama unasafilisha mzigo wako au kama Kuna mzigo wako umekwama tuwasiliane tusaidiane
Namba yangu ya cm 0621121351
Asantani sana
What a rubbish!Wewe unazani hujulikan siyo?
Mtumwa mkubwa weweWhat a rubbish!
Tafuta shughuli ya kufanya,
try to be a little busy and mind your own business.
Wewe umeshikwa makalio sio?Mtumwa mkubwa wewe
Umeshikwa akili na wajanja wa kiarabu hata wakikwambia mkchinje Mama yako utachinja
Mpuuzi mkubwa
Ukiingiziwaga ndo unatupaga miguu namna hiyo?Wewe umeshikwa makalio sio?
Binti mbona hasira na unatupa miguu huku na kule? imeingia sio?
Jibu swali nililokuuliza kisha siku nyingine acha kushobokea wanaume,una quote comment yangu wakati kichwani huna kitu?Ukiingiziwaga ndo unatupaga miguu namna hiyo?
wewe ni msukuma wa wapi? niwajue kwanza ndugu zako wa kanda ya ziwa ndio nikupe kaziSijawahi ingia mitini ndugu yangu na haitatokea kwa jina la YESU KRISTO
Na dunia ilivyo ya ajabu waaminifu hawaaminiwi kamwe,sijui kwaniniOndoa mashaka mama ndo maana nimeweka namba yangu hapo
Laiti ungejua uaminifu wangu
Mshaingiza mambo ya dini,mtu mshenzi jambazi,fisadi,akiuliwa ni sawa kabisa, umesikia huko Congo drc,Kwanini unapenda kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia hasa hasa ambao siyo waislam?
Mpuuzie huyo mkuuWewe unazani hujulikan siyo?
Kuna wengine ni waoga sana lakin Kuna wengine wanatuma tu pesa wala hawana hata shida kabisaMwanzo mzuri , tafuta mtaji au fanya mali kauli na wafanyabiashara , mteja akupe drop point ya mzigo wake , ukifikisha mzigo na mteja aki confirm anafanya malipo
Ndo changamoto ya siku hizi mtumish jina linatumika vibaya sanaKwa jina la yesu siku imekuwa siyo kabisa maana watu wanasemankwa jina la yesu huku wanapapasa matiti
Kwamba unatumiwa pesa kabisa wewe ndio unaenda au unafanyaje toa ufafanuzi vizur