Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakucheki kuna kitu unitafutie kkoo ila malipo adi mzigo ufikishe kwa agent wa gari la mizigo.Mdogo mdogo kaka tutafika kote huko
Hakuna shida kabisa kaka yangu na hakuna siku nimefanya kazi nyingi za jamiiforum kama leoNtakucheki kuna kitu unitafutie kkoo ila malipo adi mzigo ufikishe kwa agent wa gari la mizigo.
We boya unaosha vyombo niniLeo ndio mumeo kakuruhusu kuingia jf uzozane na wanaume? Acha shobo Pimbi wewe.
Wewe kichaaLeo ndio mumeo kakuruhusu kuingia jf uzozane na wanaume? Acha shobo Pimbi wewe.
Acha bangi wewe boyaWewe kenge ungekua karibu yangu wala usingefungua hilo domo,naona kila ukiwekewa bando na mumeo,kitu cha kwanza unakuja kuquote comment yangu,
Tambaa mbele wewe acha shobo.
Samahani ofisi zako ziko wapi?,maana yangu ni kwamba ikitokea haupo mbadala wako ni Nani?Natanguliza shukran zangu kwenu
Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana
Kikubwa tu tupendane
Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo
Pia na kwa wale wanaohitaji marobota au baroo za mtumba viatu na nguo na mikoba
NATEMBEZA PIA WATU AMBAO NI WAGENI HAPA DAR ES SALAAM MAENEO TOFAUTI, kwahiyo ukija dar usiogope sana
Kama unahitaji passport au unahitaji vizza nitakupeleka upate kwa wepesi au kama unasafilisha mzigo wako au kama Kuna mzigo wako umekwama tuwasiliane tusaidiane
Namba yangu ya cm 0621121351
Asantani sana
Ndugu yangu toka nibandike hilo bandiko humu ndani nimefanya kazi watu waziozidi 30Tumepigwa sana mkuu na kuchoma mitaji kiboya. Bond yako ni nini kama lolote likitokea.
Hapana kaka kuwa na aman kabisaSamahani ofisi zako ziko wapi?,maana yangu ni kwamba ikitokea haupo mbadala wako ni Nani?
Sina ada kaka yangu bali inategemea na mzigo wako lakin pia na wewe utanifikilia kwa kiasi ganiAda yako bei gani
Unaweza unanitumia mzigo ukifika tu ndio nilipe gharama za mzigo na za kwako, nahitaji nione Kama huyo Yesu kweli unaamaanisha ivyo, namie siwezi kukimbiaSijawahi ingia mitini ndugu yangu na haitatokea kwa jina la YESU KRISTO
Huyo ni winga,office rasmi bado itakua!!Ili utuhakikishie kuwa wewe ni mwaminifu tuoneshe ofisi zako zilipo na namba Yako ya kitambulisho Cha taifa(nida) ili ukitokomea na mizigo tupate pakuanzia
Na yeye Ataweka namba yake kwani shida ni namba yu, namie Kuna ishu nahitaji uninunulie nikipata tu Niko Mwanza nakutumia hela,niamini na Mimi ni mwaminifu mno sijawahi kudhulumuOndoa mashaka mama ndo maana nimeweka namba yangu hapo
Laiti ungejua uaminifu wangu
Unatumia hela yako kwani huniamini Sasa , ama niweke namba yangu hapo. Nahitaji hapo mzigo ambao hauzidi laki mojaShida inakuja kwamba hii mizigo tunaichukua kwenye maduka ya watu mtumish