The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kwenye lugha ya Kiswahili hakuna neno Mi kuna neno MimiKua❌
Kuwa✅
Mi nikishaona tu mtu hajui kutofautisha maneno mepesi kama hayo naona hapa hamna mwanamke na mawasiliano nakata. Maana utanichosha kukuelekeza.
Ndio maana nakwambia kua wewe ni debe tupu.