Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi nakuomba wewe unitumie huo mzigo ukifika nakulipa mana wewe u jasiri pia najua kwako ni pesa ndogo mno, kwangu ni sawa na trillion, wewe najua una hela sana laki si pesa kwako, fanya basi Kama unakubali nikuagize Kama umekubali, fanya Kama umebeti nitumie mzigo mayalaAsante sana kumbe wewe unajua kak
Sasa laki moja kaka ndo unaogopa kuibiwa? Laki moja si ni pesa ambayo hata mtu akiangusha mbele yako unamshitua aokote pesa yake
Sasa laki nayo ni pesa ya kumzulumu mtu?
Kwahiyo kumtaja YESU KRISTO ni kosa kaka?1. Ufike wakati Wakristo tuwe na akili, si kila mtu anamwamini Kristo hivyo weka taarifa sahihi na u verify account yako au
2. Weka anwani yako au biashara yako hapo utaaminika.
3. Watu wamelizwa sana hivyo hawahitaji maneno matupu kwani hayo walishaambiwa na wakapigwa.
Unaitaji mzigo gan kakaBasi nakuomba wewe unitumie huo mzigo ukifika nakulipa mana wewe u jasiri pia najua kwako ni pesa ndogo mno, kwangu ni sawa na trillion, wewe najua una hela sana laki si pesa kwako, fanya basi Kama unakubali nikuagize Kama umekubali, fanya Kama umebeti nitumie mzigo mayala
Sasa kama umeolewa,acha kushobokea wanaume hapa JFMimi nimeolewa,nipo ndani ya ndoa.
Nakuombea kila la kheri huenda mbeleni hata mimi nikakuagiza vituAsante sana bro MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI SANA
Uaminifu ndo mtaji wangu mkubwa kaka
YouTube kit tools unazijua, utume nipokelee hapa nata MwanzaUnaitaji mzigo gan kaka
DuhYouTube kit tools unazijua, utume nipokelee hapa nata Mwanza
Tafuta hela kenge weweNatanguliza shukran zangu kwenu
Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana
Kikubwa tu tupendane
Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo
Pia na kwa wale wanaohitaji marobota au baroo za mtumba viatu na nguo na mikoba
NATEMBEZA PIA WATU AMBAO NI WAGENI HAPA DAR ES SALAAM MAENEO TOFAUTI, kwahiyo ukija dar usiogope sana
Kama unahitaji passport au unahitaji vizza nitakupeleka upate kwa wepesi au kama unasafilisha mzigo wako au kama Kuna mzigo wako umekwama tuwasiliane tusaidiane
Namba yangu ya cm 0621121351
Asantani sana
Multiple ID at work.Bwana aibariki kazi ya mikono yako