Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

Blaza maelezo hayajajitosheleza..ntaamini vipi wewe sio tapeli..toa kitambulisho chako Cha nida na certification ya kuwa verified
Tuaminiane bro

Mwizi ni mwizi tu hata kama atakupa namba ya mke wake
 
Asante sana kumbe wewe unajua kak

Sasa laki moja kaka ndo unaogopa kuibiwa? Laki moja si ni pesa ambayo hata mtu akiangusha mbele yako unamshitua aokote pesa yake

Sasa laki nayo ni pesa ya kumzulumu mtu?
Basi nakuomba wewe unitumie huo mzigo ukifika nakulipa mana wewe u jasiri pia najua kwako ni pesa ndogo mno, kwangu ni sawa na trillion, wewe najua una hela sana laki si pesa kwako, fanya basi Kama unakubali nikuagize Kama umekubali, fanya Kama umebeti nitumie mzigo mayala
 
Kwahiyo kumtaja YESU KRISTO ni kosa kaka?

Mbona Marais wakiwa wanaapa huwa wanashika biblia ya YESU KRISTO?

Kwahiyo nao ni matapeli
 
Unaitaji mzigo gan kaka
 
Asante sana bro MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI SANA

Uaminifu ndo mtaji wangu mkubwa kaka
Nakuombea kila la kheri huenda mbeleni hata mimi nikakuagiza vitu
Dunia ndogo sana hii
Tumia wigo mkubwa kujitangaza hata kwenye mitandao
Ila wazee wa kodi wasije kukuzingua tu
All the best
 
Tafuta hela kenge wewe
 
Karbuni tuendelee kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…