Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Eti ni udhaifu 🤷🏾
Hivi ni kweli wanaume mnafikiri kwa namna hii au ni baadhi tu ya vijana wasiojielewa?
Kama humuombi mkeo au mpenzi wako msamaha ukikosea, huwa unamalizaje migogoro kwenye mahusiano yako?
Mwisho kabisa, Je, ni sahihi kwa huyo mwenza wako pia kutukukuomba msamaha akikosea, au hiyo ni kwa ajili ya wanaume tu?
🤷🏽♀️
Mzee wangu Ushimen , njoo nawe utugawie uzoefu wako kidogo.
Cc:
Nomadix , Poor Brain , realMamy , Monetary doctor , Intelligent businessman , mzabzab , Extrovert , Wagumu Tunadumu , Mwachiluwi , Kadhi Mkuu 1
Hivi ni kweli wanaume mnafikiri kwa namna hii au ni baadhi tu ya vijana wasiojielewa?
Kama humuombi mkeo au mpenzi wako msamaha ukikosea, huwa unamalizaje migogoro kwenye mahusiano yako?
Mwisho kabisa, Je, ni sahihi kwa huyo mwenza wako pia kutukukuomba msamaha akikosea, au hiyo ni kwa ajili ya wanaume tu?
🤷🏽♀️
Mzee wangu Ushimen , njoo nawe utugawie uzoefu wako kidogo.
Cc:
Nomadix , Poor Brain , realMamy , Monetary doctor , Intelligent businessman , mzabzab , Extrovert , Wagumu Tunadumu , Mwachiluwi , Kadhi Mkuu 1