The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Wanawake huwa hawasamehi wanaweka moyoni lazima tu atarevenge huko mbeleni tena anasubiria umechoka unahitaji msaada wake mfano ukiwa mzee au mgonjwa au hauna kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupigiaaaa kaaa pazuriiiii napiga video callNipooo dar yenye joto nauguza maumivu yangu, Mimi mdogo ake na Mshangazi dot com
Labda kama hauna pesa ye ndo mwenye pesaUnaweza kumpoteza mpenzi wako unayempenda kwa dhati eti kisa tu unashindwa kuomba msamaha. Mi nafikiri ni vema kutafuta amani kuliko kujifanya nunda japo iwe balanced
Umenichekesha sanaaa .... Pigaaaaaaaaa harakaaaaaaaaaaNakupigiaaaa kaaa pazuriiiii napiga video call
Pesa ina nafasi si kila mara kwenye mahusiano.Tumetendwa na kufanyiwa matukio na mtu ambaye ukikaa na kufanya comparison huoni fedha ilihusikaje.Labda kama hauna pesa ye ndo mwenye pesa
Mdogo angu mimi, twende basi beach baadaye tukapunge kaupepo, tusije tukaiva na hili jotoNipooo dar yenye joto nauguza maumivu yangu, Mimi mdogo ake na Mshangazi dot com
Beach Gani Kwanzaa! Hilo joto si kawaidaaaMdogo angu mimi, twende basi beach baadaye tukapunge kaupepo, tusije tukaiva na hili joto
Sijawahi...Hivi umewahi niomba msamaha kweli?!🤔
Kwani nimekosea nini...😭😭😭 Kwanini umejua kiwepesi hivyo?
Nothing.... hope you are doing great ✌️Kwani nimekosea nini...
Sipo sawa...Nothing.... hope you are doing great ✌️
Subiri kidogoSipo sawa...
Ngoja ngoja yaumiza matumbo...Subiri kidogo
Hakuna cha u Gentlemen hapo ni upumbav...na hyo ni njia ya kutawaliwaBe humble...
Be a gentleman...
Basi sawa, wamekusikia 🙂Waombe msamaha kiume… habari za kuomba msamaha kama mdada hujiamini hatutakii
Msamaha unaomba huku unamwaga mpunga na tuzawadizawadi hata jojo ya mia 2
Sasa kuna hawa wanaume wasiojiamini aisee hata hajakukwaza ashaanza kujiami na misamaha mara kama nimekukosea nisamehe.. babe umenisamehe kweli yaani mnaboa
Muwe mnakaza.. msamaha uombwe kwenye vitu seriously sio umeacha kupokea simu ndio una ombaomba msamaha
Mnakeraaaaaaaaaaaaaa