Usije kujaribu kumuomba msamaha mwanamke hata kama umekosea!

Usije kujaribu kumuomba msamaha mwanamke hata kama umekosea!

Sijui kama nimeelewa swali 😂! Ila ninacho amini .. this is my personal philosophy "Mtu dhaifu ni mtu asiyeweza kuomba msamaha pale ambapo amekosea"

Pengine labda kama huyo mwanamke humpendi na huna Malengo nae, unataka tu kupiga na kusepa!

Ila kuwa mwanaume Haina maana unapomkosea mwenzi wako, hupaswi kuomba msamaha si kweli!

Kuna kisa fulani nimekikumbuka, sikumbuki vizuri Nini kilitokea baina ya Mimi na rafiki zangu watatu ila kuliibuka ugomvi mkubwa sana.

Na nilisingiziwa kuwa ndio chanzo Cha huo ugomvi. Nakumbuka Ile siku nilipopata hizo taarifa nilienda madhabahuni pale Kijitonyama nikasali sana, Mimi ni yule mwenye hasira za karibu!

Ndani yangu, Nina amini ni Roho Mtakatifu alinisemesha ... Kuwa hiyo siku ya hicho kikao nikifika nisijitete na kujionyesha kuwa Mimi sio mkosaji! Bali nikubali na kuwaambiwa wote naomba mnisamehe Mimi ndiye niliyewakosea!

Nadhani Mungu alikuwa ana deal na Roho ya kiburi ndani yangu! Haikuwa rahisi

Siku ilipofikia wotee wakaongea! Ilipofika zamu yangu, huku natetemeka kwa hasira! Niliwaomba msamaha ... Gafla kukawa na ukimya! Afu nikasepa zangu!

Kesho yake wote walikuja kukubali kuwa wao ndio waliokosea na wanaomba msamaha maana Roho zao zinawasuta!


Sasa turudi kwenye mada yako!

Mahusiano yangu ya mwisho, mbali na ukiburi niliokuwa nao na hulka ya kimasai

Kila mara magomvi yalipokuwa yakitokea nilikuwa wa kwanza kujishusha na kuomba msamaha (Kuna kitu kulikuwa kinani push kufanya ivo)

Siku moja, huyo dada akaniambia "yaani wewe ni ajabu sana, ni mwepesi kuomba msamaha na kuyafanya mambo yaishe ili tu amani ipatikane kati yetu, sijui kwa namna hii tunavyoishi ikitokea siku tukaachana, kama nitaweza kuja kuishi na mwanaume mwingine asiye na moyo kama wako"


Binafsi ni mtu ambaye sipendi magomvi kabisa na sipendi Mimi kuwa sababu ya maumivu kwa mtu mwingine Hilo limenijenga kuwa mwepesi wa kuomba msamaha na kujishusha kwa haraka sana kwa mtu yoyote!

Nina amini, hakuna faida kwenye ugomvi.

Ndo maisha yanaenda 😂
You are one in a million, mmebakia wachache sana wenye roho kama yako. Ni jambo jema!
 
Apart from mama
Siwezi kumuomba msamaha mwanamke kwa kutamka "samahani"

Nitamuomba msamaha kwa vitendo au kibishi, "kausha basi we hujawahi kukosea".

Kumuomba mwanamke msamaha kwa maneno ya kipole ni kumpa full authority na power ya kujua anaweza kukucontrol akitaka na huwezi bila yeye

ZINGATIA: Siwezi kuomba msamaha kwa maneno napendelea vitendo zaidi.
Hiyo kuomba msamaha kwa vitendo, huwa unafanyaje?
 
Kuna makosa ya kuomba msamaha, mfano nimemwaga chai yako bahati mbaya wakati tuko mezani, nitakwambia samahani wife. Siyo eti umenifumania halafu niombe meamaha! Haiwezekani.
So yale madogo madogo ni sawa, ila msala ukiwa mkubwa unapotezea au kuvimba kiuanaume tu, si ndiyo mkuu?
 
You are one in a million, mmebakia wachache sana wenye roho kama yako. Ni jambo jema!
Ngoja nimalizie na kisa hiki! Ni changu Mimi.

Baada ya break up kutokea na yule dada! Ile miezi ya kwanza kwanza nilikuwa kwenye frustration kubwa sana sana!

Kwanza jambo Hilo limetokea kipindi namalizia kuandika Kitabu Cha Uamsho na mifumo .... Sasa Si unajua kazi yangu 🤣

Kuna mdada akanitafuta ... She was my client ambaye tulikutana kwenye counseling na tulifika kwenye hatua ya termination na akavuka kwenye tatizo lake!

This time anarudi akiwa na shida ingine, na Mimi ndo nipo kwenye frustration mode! 😂

Katika Ile Hali ya kupeana moyo na gafla tukaingia kwenye mahusiano ... Kumbuka Mimi sijawa healed

Ngoja niandike afu nitafuta hii comments 😂

Basi bhana! Akaniomba sana nimetembee mkoa alipo!

Nilikuwa kwenye kazi fulani Moshi 😂 ... Sikumaliza nikatoroka nikaanza safari ya kuitafuta Tarime!

Nikipanda basi ya mwanza, nikachelewa kufika mwanza ... Mida ya saa moja Nikakuta gari za Tarime zimeondoka!

Nikahangaika kupata usafiri wa fuso linaenda Bunda saa sita usiku! Nikafika saa 8 Bunda nikapata fuso la kwenda Tarime

Nimefika saa kumi na mbili asubuhi 😂 ... Chap nikafika kwake akafurahi kuniona!

Kwa sababu ya frustration niliyokuwa napitia basi muda mwingi nilikuwa nipo njwiii! Nimelewa ila vigumu kujua Hilo.

Basi yakafanyika ya kufanyika 😂 .. I stayed kama siku 3 ... Siku zote hizo Mimi na wine!

Asubuhi Moja akiwa kazini, akanitumia text kuwa ameota ndoto, Mimi namwambia kuwa siwezi kuendelea na hii relationship kwa sababu Bado Nina hisia na ex Wangu

Nilishangaa sana maana ilikuwa ni kweli, Mimi niliingia kwenye relationship na yeye kwa sababu ya upweke tu!

So nikazidi kuvurugwa! Maana nikaona naenda kuumiza moyo wa huyu mtu ... KITU NINACHOKUCHUKIA MAISHA YANGU YOTEEE!

kesho nikaaga kuondoka! Nilivyofika dar!

Nikamweleza ukweli na kumuomba msamaha ... Toka siku hiyo update

Wino umeisha 😂
 
So yale madogo madogo ni sawa, ila msala ukiwa mkubwa unapotezea au kuvimba kiuanaume tu, si ndiyo mkuu?
Yaani wife kàkufuma na bonge la sooo halafu upige goti unaomba msamaha! Ukweli natafuta njia nyingine tumalizane. Bora niingie mfukoni nimbembeleze akilegea kidogo namzagamua kwa bidii, huko ndo kuomba msamaha kiuanaume.
Ila kama umeoa bandidu usijaribu huu ushauri.
 
Ngoja nimalizie na kisa hiki! Ni changu Mimi.

Baada ya break up kutokea na yule dada! Ile miezi ya kwanza kwanza nilikuwa kwenye frustration kubwa sana sana!

Kwanza jambo Hilo limetokea kipindi namalizia kuandika Kitabu Cha Uamsho na mifumo .... Sasa Si unajua kazi yangu 🤣

Kuna mdada akanitafuta ... She was my client ambaye tulikutana kwenye counseling na tulifika kwenye hatua ya termination na akavuka kwenye tatizo lake!

This time anarudi akiwa na shida ingine, na Mimi ndo nipo kwenye frustration mode! 😂

Katika Ile Hali ya kupeana moyo na gafla tukaingia kwenye mahusiano ... Kumbuka Mimi sijawa healed

Ngoja niandike afu nitafuta hii comments 😂

Basi bhana! Akaniomba sana nimetembee mkoa alipo!

Nilikuwa kwenye kazi fulani Moshi 😂 ... Sikumaliza nikatoroka nikaanza safari ya kuitafuta Tarime!

Nikipanda basi ya mwanza, nikachelewa kufika mwanza ... Mida ya saa moja Nikakuta gari za Tarime zimeondoka!

Nikahangaika kupata usafiri wa fuso linaenda Bunda saa sita usiku! Nikafika saa 8 Bunda nikapata fuso la kwenda Tarime

Nimefika saa kumi na mbili asubuhi 😂 ... Chap nikafika kwake akafurahi kuniona!

Kwa sababu ya frustration niliyokuwa napitia basi muda mwingi nilikuwa nipo njwiii! Nimelewa ila vigumu kujua Hilo.

Basi yakafanyika ya kufanyika 😂 .. I stayed kama siku 3 ... Siku zote hizo Mimi na wine!

Asubuhi Moja akiwa kazini, akanitumia text kuwa ameota ndoto, Mimi namwambia kuwa siwezi kuendelea na hii relationship kwa sababu Bado Nina hisia na ex Wangu

Nilishangaa sana maana ilikuwa ni kweli, Mimi niliingia kwenye relationship na yeye kwa sababu ya upweke tu!

So nikazidi kuvurugwa! Maana nikaona naenda kuumiza moyo wa huyu mtu ... KITU NINACHOKUCHUKIA MAISHA YANGU YOTEEE!

kesho nikaaga kuondoka! Nilivyofika dar!

Nikamweleza ukweli na kumuomba msamaha ... Toka siku hiyo update

Wino umeisha 😂
Usiifute bana.
Tunasubiria ununue kalamu mpya, umalizie srori 😅
 
Yaani wife kàkufuma na bonge la sooo halafu upige goti unaomba msamaha! Ukweli natafuta njia nyingine tumalizane. Bora niingie mfukoni nimbembeleze akilegea kidogo namzagamua kwa bidii, huko ndo kuomba msamaha kiuanaume.
Ila kama umeoa bandidu usijaribu huu ushauri.
Kumbe mkikosea mko tayari kutupa hela tutulie, haya ngoja tutunze kumbukumbu 📝
giphy.gif
 
Unatakiwa kumpa POLE sio kuomba msamaha. Unaombaje msamaha kwa mtu unaemtawala.

Soma Biblia MWANZO 3.16
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Mwanzo 3:16


Eti ni udhaifu 🤷🏾

Hivi ni kweli wanaume mnafikiri kwa namna hii au ni baadhi tu ya vijana wasiojielewa?

Kama humuombi mkeo au mpenzi wako msamaha ukikosea, huwa unamalizaje migogoro kwenye mahusiano yako?

Mwisho kabisa, Je, ni sahihi kwa huyo mwenza wako pia kutukukuomba msamaha akikosea, au hiyo ni kwa ajili ya wanaume tu?

View attachment 3246183

View attachment 3246222

🤷🏽‍♀️

View attachment 3246223

Mzee wangu Ushimen , njoo nawe utugawie uzoefu wako kidogo.

Cc:
Nomadix , Poor Brain , realMamy , Monetary doctor , Intelligent businessman , mzabzab , Extrovert , Wagumu Tunadumu , Mwachiluwi , Kadhi Mkuu 1
 
Maana kuna vitu nilikuwa napanga kwa friji..niliacha na kumfuata na kuomba huo msamaha huo, lile kumbato asee na nilipewa kiss midomo yake ilikuwa na joto balaa 🤗
Sawa, tushakuelewa, siku yako iliisha vizuri na ukapewa mbususu 😄
giphy-downsized.gif
 
Sijui kama nimeelewa swali 😂! Ila ninacho amini .. this is my personal philosophy "Mtu dhaifu ni mtu asiyeweza kuomba msamaha pale ambapo amekosea"

Pengine labda kama huyo mwanamke humpendi na huna Malengo nae, unataka tu kupiga na kusepa!

Ila kuwa mwanaume Haina maana unapomkosea mwenzi wako, hupaswi kuomba msamaha si kweli!

Kuna kisa fulani nimekikumbuka, sikumbuki vizuri Nini kilitokea baina ya Mimi na rafiki zangu watatu ila kuliibuka ugomvi mkubwa sana.

Na nilisingiziwa kuwa ndio chanzo Cha huo ugomvi. Nakumbuka Ile siku nilipopata hizo taarifa nilienda madhabahuni pale Kijitonyama nikasali sana, Mimi ni yule mwenye hasira za karibu!

Ndani yangu, Nina amini ni Roho Mtakatifu alinisemesha ... Kuwa hiyo siku ya hicho kikao nikifika nisijitete na kujionyesha kuwa Mimi sio mkosaji! Bali nikubali na kuwaambiwa wote naomba mnisamehe Mimi ndiye niliyewakosea!

Nadhani Mungu alikuwa ana deal na Roho ya kiburi ndani yangu! Haikuwa rahisi

Siku ilipofikia wotee wakaongea! Ilipofika zamu yangu, huku natetemeka kwa hasira! Niliwaomba msamaha ... Gafla kukawa na ukimya! Afu nikasepa zangu!

Kesho yake wote walikuja kukubali kuwa wao ndio waliokosea na wanaomba msamaha maana Roho zao zinawasuta!


Sasa turudi kwenye mada yako!

Mahusiano yangu ya mwisho, mbali na ukiburi niliokuwa nao na hulka ya kimasai

Kila mara magomvi yalipokuwa yakitokea nilikuwa wa kwanza kujishusha na kuomba msamaha (Kuna kitu kulikuwa kinani push kufanya ivo)

Siku moja, huyo dada akaniambia "yaani wewe ni ajabu sana, ni mwepesi kuomba msamaha na kuyafanya mambo yaishe ili tu amani ipatikane kati yetu, sijui kwa namna hii tunavyoishi ikitokea siku tukaachana, kama nitaweza kuja kuishi na mwanaume mwingine asiye na moyo kama wako"


Binafsi ni mtu ambaye sipendi magomvi kabisa na sipendi Mimi kuwa sababu ya maumivu kwa mtu mwingine Hilo limenijenga kuwa mwepesi wa kuomba msamaha na kujishusha kwa haraka sana kwa mtu yoyote!

Nina amini, hakuna faida kwenye ugomvi.

Ndo maisha yanaenda 😂
Kwasasahivi uko wapi 😁
 
hii slogan ya kutoomba msahama nakili pekeyangu imenifanya nipite kwenye mahusiano mengi tofauti na umri wangu. Me nahisi tunapaswa kuomba msamaha angalau mara moja moja.
Kila mtu anakosea, kuomba msamaha kunasaidia.
Huwezi kuwa mbabe tu kwenye kila mahusiano.
 
Back
Top Bottom