yes unakuwa umepigwa sana. nadhani ndivyo mikpo iliyo. hata seriklini, mabenki yanatoza riba kubwa miaka 9. Weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii400k
Tatizo sio kukopa. Tatizo ni kukopa sehemu ambayo hata riba yake inashangaza, unakopa ili Nini Hilo nalo ni swaliKukopa sio laana, ni worldwide trend hiyo, nduo maana hata nchi matajiri zinakopa tu. Miaka ya nyuma niliishi sehemu ambayo simu ilikuwa inakopeshwa hivi hivi, sisi tunaiga tu.
Hapa nataka nikakope pikipiki yangu(japo naogopa kufa na hizi ajali, kibajaj kinanifilisi🤣), kwa nini nichukue 3.5m kununua cash wakati nina option ya kulipa 400k na nyingine nikawa nalipa kidogo kidogo. Ni trend ya dunia sio umasikini.
Utaratibu wa kukopa ni upi nami nikope?? natakiwa niende na nini ofisini kwao??mkuu wewe ulichukua aina gani? Maana kuna watu nawafahamu waliochukua za mkopo huwa wanapewa MB kama ifuatavyo;
1. samsung A04 - Anapata MB 100 kila akilipa deni la TZS 1000 (tigo)
2. Samsung A04S - anachukua MB 200 kila akilipa mkopo (tigo).
3. Samsung A04e anapata GB 1.5 kila akilipa mkopo wa TZS 8100. Huyu malipo yake anafanya kwa wiki, hizo GB anapewa za kutumia kwa siku 3. Mtandao ni airtel.
Unataka long term mkopo uwe na riba ya asilimia ngapi mkuu? Yaani ukope simu kwa mwaka mzima ulipe riba kiasi gani? Simu inauzwa cash 400k, wewe umepewa option ya kulipa 2k per day kwa mwaka mzima, weka risk factors in place, ulitaka ulipe 0.5k per day?(yaani 500 x 30 x 12 = 180,000?) QUOTE ulitakaje?Tatizo sio kukopa. Tatizo ni kukopa sehemu ambayo hata riba yake inashangaza, unakopa ili Nini Hilo nalo ni swali
Naomba utaratibu wa kukopa hizo simu nami nikope, natakiwa niwe na vitu gani kama viambatanisho?Unaenda na loss report from polisi, then unapewa nyingine
At least kwa installment 4 , ndani ya mweziUnataka kuanzia sh ngapi mkuu?
Nenda duka la voda na nida tu then kesho unarudi na sumsung Galax. Tigo unatakiwa uende ns mdhamini mmojaNaomba utaratibu wa kukopa hizo simu nami nikope, natakiwa niwe na vitu gani kama viambatanisho?
Biashara siku hz zipo mtandaoni...watu wanapiga hela kwa kupost bidhaa na kuuzaSimu unafanyia biashara gani?
Kopa tigo nivushe...riba 10%Kuna hii mikopo ya online ase ni kisanga. Yaani unapewa mkopo piamoja na kias cha riba lakini mwisho wa siku unakuta unatakiwa kulipa zaidi
8100 *4*12=388800 hiyo.simu ni laki tatu..so ukiweka na data ni mule mulemkuu wewe ulichukua aina gani? Maana kuna watu nawafahamu waliochukua za mkopo huwa wanapewa MB kama ifuatavyo;
1. samsung A04 - Anapata MB 100 kila akilipa deni la TZS 1000 (tigo)
2. Samsung A04S - anachukua MB 200 kila akilipa mkopo (tigo).
3. Samsung A04e anapata GB 1.5 kila akilipa mkopo wa TZS 8100. Huyu malipo yake anafanya kwa wiki, hizo GB anapewa za kutumia kwa siku 3. Mtandao ni airtel.
TBS wameanza kukopesha lini?Tanzania hakuna anaedhibiti wizi kila mtu anaamua cha kufanya wengine sijui Songesha wanawakopesha watu kwa riba kubwa mno ila BOT wapo kimya kama vile hilo sio swala lao...hapo kwenye simu TBS na BOT wanahusika watu wanakopeshwa simu za hovyo hovyo kweli aisee na Serikali ipo kimya...
Nenda na nida na nguo zako ukiwa umeshika mkononi.usisahau na namba ya mdhamini.Naomba utaratibu wa kukopa hizo simu nami nikope, natakiwa niwe na vitu gani kama viambatanisho?
Nenda na nida na nguo zako ukiwa umeshika mkononi.usisahau na namba ya mdhamini.
Kila la kheri
Bado kianzio 70,000 nadhani.8100 *4*12=388800 hiyo.simu ni laki tatu..so ukiweka na data ni mule mule
Tumia Kitochi.Hawa jamaa sio wazuri sumsung A03 sijui A14 hahaha et kwa siku 2000 kuanzio 50k.
Kwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.
No huu ni unyonyaji.
. Mbona zinatolewa hiyo lock mkuu, alafu maisha yanaendelea kama kawaida...Hawa jamaa sio wazuri sumsung A03 sijui A14 hahaha et kwa siku 2000 kuanzio 50k.
Kwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.
No huu ni unyonyaji.
SawaAt least kwa installment 4 , ndani ya mwezi