dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Kuna haya maneno mawili wakopaji wengi hatuzingatii kutokana pengine kimuhemuhe cha kupata fedha; COMPOUND INTEREST! Hapo ndipo balaa lilipo.Ni mwanzo baada ya muda riba itakuwa kama ile ya benki. Max 20%