Usiku umekuwa mgumu sana

Usiku umekuwa mgumu sana

Hata wale KE wanaochezaga dry then period ichelewe, siku akiiona uwa anaapia harudii tena kucheza dry… ila nikumbie tu, utasahau na utakuja kurudia
🤣🤣🤣 Hatari lakini salama
 
Pole sana mkuu,

Kua makini,angalia usije ukajuta maisha yako yote kwa starehe ya madakika tu,
Hope umejifunza jambo.
 
Je wangeendelea kuacha TLE[emoji1787][emoji1787][emoji1787] si ungekimbia nyumbaa wewee
 
Mkuu usiogope ukimwi kifo ni kifo tu ka utakufa kwa hiv sio mbaya ila siku hizi kuna vidogne utameza
 
Wakuu habari.

Kama nilivyowasanua, jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa leo nimeota ndoto za ajabu sana.

Nimeamka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.

Aiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
Sisi tupo hapa kukupa moyo na kukuonhezea hamasa.
Dont backdown
 
Wakuu habari.

Kama nilivyowasanua, jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa leo nimeota ndoto za ajabu sana.

Nimeamka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.

Aiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
Huna lolote ukiwa sawa utarudia tabia yako ile ile
 
Jasiri haachi asili nimewahi kujidanganya kama wewe Ivo ivo
 
Iamiduvine

dronedrake

bora huku sio👇🏾
1703740820067.png
 
Back
Top Bottom