From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Huyu ni Wakili kweli? Nina mashaka na uwakili wake!! Upekuzi umefanyika kwa kufuata taratibu na sheria halafu mtu akatae kusaini.
Muhuni tu huyuMkuu lile swala la kuyashitaki makampuni ya simu liliishia wapi?
Asante sana Mkuu kwa Elimu yako Muhimu ya Kututahadharisha kwani huenda Wengine kwa Upopoma wetu uliotukuka tungesaini tukiamini ndiyo tunaonyesha Ushirikiano Kwao kumbe tunaonyesha Ushirikiano wa kwenda kuanza Maisha mapya Jela ( Gerezani )USIKUBALI KUSAINI NYARAKA HII UNAPOPEKULIWA NA POLISI
Na Bashir Yakub. WAKILI
+255 714 047 241
Polisi wanapokufanyia upekuzi, iwe wewe mwenyewe binafsi, nyumbani kwako, kazini kwako, gari lako au penginepo ipo fomu maalum ambayo wao wenyewe huijaza na kumtaka mtu aliyefanyiwa upekuzi naye kuijaza.
Fomu hii huitwa Certificate of Seizure. Fomu hii hujazwa hasa pale ambapo katika upekuzi kuna chochote kinatakiwa kuchukuliwa kama ushahidi(exhibit).
Ni fomu ambayo huoredhesha mali ama vitu ambavyo umekutwa navyo. Chochote ambacho umekutwa nacho ambacho wao wanatakiwa kukichukua/kuondoka nacho kama ushahidi basi huorodheshwa.
Hata kama kidogo kama pipi ama sindano madhali wanatakiwa kukichukua kwa ajili ya upelelezi basi hutakiwa kuorodheshwa kwenye hiyo fomu/hati.
Aidha, ni muhimu kujua kuwa ikiwa unapinga kuhusu kile kinachochukuliwa kuwa hukukutwa nacho ama hakikukutwa kwako basi usikubali kusaini fomu hiyo.
Hii ni kwasababu kukubali kwako kusaini fomu hiyo tafsiri yake kisherria ni kuwa umekubali kuwa umekutwa na hicho kitu.
Na endapo utafikishwa mahakamani basi fomu hiyo itawasilishwa kama ushahidi na kwasababu ulisaini basi ulikubali kuwa ulikutwa na kitu hicho.
Vinginevyo uwe unakubali kuwa ni kweli hicho kitu umekutwa nacho, basi hapo waweza kusaini. Lakini kama hukubali basi usisaini.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya rufaa kupitia kesi ya SONG LEI VS THE DPP, AND THE DPP VS XIAO SHAODAN and Two Others, Consolidated Criminal Appeal Nos. I6'A' of 2016 & 16 of 2017, ambapo mahakama ilisema kuwa kusaini hati/fomu ya upekuzi ya mali zilizochukuliwa ni kukubali kuwa umekutwa na huo ushahidi.
Katika hii kesi raia wa China walisaini Pembe za Wanyama kukutwa ndani ya gari lao na ndo ukawa ushahidi dhidi yao.
Maamuzi mengine mengi yameeleza msimamo huu kuwa ukikubali kusaini umekubali kukutwa na huo ushahidi.
Ni muhimu sana kulijua eneo hili la mtego ambalo linaweza likakupeleka jela na yafaa basi kuwa makini katika mazingira hayo.
Huyo si ndio alianzisha mchakato wa kuidai mitandao sijui wakampoza akapoteaHakuna Wakili hapo, Mbabaishaji uyo
Huwi kwenye anga zao unakuwa kwenye anga zakoUna sign signature ambayo si yako ukifika mahakamani unawakata kiulaini,hakuna haja ya kubishana nao hawa jamaa ni wajinga kweli kweli wakiwa katika anga zao wanaweza kukuumiza vibaya kisa ubishi wa kijinga ambao mwisho wa siku ukitumia akili unawaacha kwenye mataa.
Umeelewa lakini?Huyu ni Wakili kweli? Nina mashaka na uwakili wake!! Upekuzi umefanyika kwa kufuata taratibu na sheria halafu mtu akatae kusaini.
Hiyo itakuwa defense kwako kwamba ulisaini under duress / coercion. Hiyo inaweza kuwa moja ya sababu za kushawishi mahakama kukataa huo ushahidi maana ushahidi unaopatikana kwa kupitia nguvu kwa mtuhumiwa kuukubali huwa unaweza kukataliwa.Ukikataa wakakupiga je?
Umeniwahi mkuu, mwenyewe nimemshangaa sana, sasa kama umekutwa na hizo mali unaanzaje kukataa?, na je wasipokuja na hiyo form wakaenda kujaza wanavyojua wao utamlaumu nani,? Hapa wambie watu kwamba ile form isome vizuri na hakikisha kilichoandikwa ndicho ulichokutwa nacho ndio utie sahihi sio kusema asisaini.Huyu ni Wakili kweli? Nina mashaka na uwakili wake!! Upekuzi umefanyika kwa kufuata taratibu na sheria halafu mtu akatae kusaini.
Mkuu hiyo haikupi nguvu kisheria,Una sign signature ambayo si yako ukifika mahakamani unawakata kiulaini,hakuna haja ya kubishana nao hawa jamaa ni wajinga kweli kweli wakiwa katika anga zao wanaweza kukuumiza vibaya kisa ubishi wa kijinga ambao mwisho wa siku ukitumia akili unawaacha kwenye mataa.
Shukrani sana mkuu nimekuelewaUSIKUBALI KUSAINI NYARAKA HII UNAPOPEKULIWA NA POLISI
Na Bashir Yakub. WAKILI
+255 714 047 241
Polisi wanapokufanyia upekuzi, iwe wewe mwenyewe binafsi, nyumbani kwako, kazini kwako, gari lako au penginepo ipo fomu maalum ambayo wao wenyewe huijaza na kumtaka mtu aliyefanyiwa upekuzi naye kuijaza.
Fomu hii huitwa Certificate of Seizure. Fomu hii hujazwa hasa pale ambapo katika upekuzi kuna chochote kinatakiwa kuchukuliwa kama ushahidi(exhibit).
Ni fomu ambayo huoredhesha mali ama vitu ambavyo umekutwa navyo. Chochote ambacho umekutwa nacho ambacho wao wanatakiwa kukichukua/kuondoka nacho kama ushahidi basi huorodheshwa.
Hata kama kidogo kama pipi ama sindano madhali wanatakiwa kukichukua kwa ajili ya upelelezi basi hutakiwa kuorodheshwa kwenye hiyo fomu/hati.
Aidha, ni muhimu kujua kuwa ikiwa unapinga kuhusu kile kinachochukuliwa kuwa hukukutwa nacho ama hakikukutwa kwako basi usikubali kusaini fomu hiyo.
Hii ni kwasababu kukubali kwako kusaini fomu hiyo tafsiri yake kisherria ni kuwa umekubali kuwa umekutwa na hicho kitu.
Na endapo utafikishwa mahakamani basi fomu hiyo itawasilishwa kama ushahidi na kwasababu ulisaini basi ulikubali kuwa ulikutwa na kitu hicho.
Vinginevyo uwe unakubali kuwa ni kweli hicho kitu umekutwa nacho, basi hapo waweza kusaini. Lakini kama hukubali basi usisaini.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya rufaa kupitia kesi ya SONG LEI VS THE DPP, AND THE DPP VS XIAO SHAODAN and Two Others, Consolidated Criminal Appeal Nos. I6'A' of 2016 & 16 of 2017, ambapo mahakama ilisema kuwa kusaini hati/fomu ya upekuzi ya mali zilizochukuliwa ni kukubali kuwa umekutwa na huo ushahidi.
Katika hii kesi raia wa China walisaini Pembe za Wanyama kukutwa ndani ya gari lao na ndo ukawa ushahidi dhidi yao.
Maamuzi mengine mengi yameeleza msimamo huu kuwa ukikubali kusaini umekubali kukutwa na huo ushahidi.
Ni muhimu sana kulijua eneo hili la mtego ambalo linaweza likakupeleka jela na yafaa basi kuwa makini katika mazingira hayo.
Tena utasaini baada ya kuchakaa, kumbe bora ungesaini yaisheBahati mbaya hao jamaa kuna wakati mwingine hutumia nguvu badala ya ustaarabu kukusainisha! Virungu nje nje!! Biti kali!! nk.
Sasa kama hujafikia viwango vya ununda, itakulazimu tu kusaini.
Lakini mbona kasema wazi kuwa ... 'ukiona kitu kisichokuwa chako hata kama ni kidogo kama pipi ama sindano usikubali kusaini'...Uko sahihi kabisaa kama amekuja kujitangaza hapa na uwakili wake ni dhahiri ajitafajari upya unapotoa ushauri ni lazima ujiridhishe ukamilifu wako katika swala unalolitolea ushauri sasa unakuja hapa na mihemko yako na kujaza watu ujinga.
Asipoelewa basi, tena sasa hivi wameenda mbali zaidi huyo independent witness asiwe mwenyekiti wa mtaa awe mtumishi wa serikali kama vile mwl mkuu, afsa mtendaji nk. Hii ni kuepusha hawa wenyeviti wanaweza kuwalinda wapiga kura wao. OVAwewe ni mwanasheria mchanga, bado una safari ndefu. kwa taarifa yako, hata usiposaini, lakini wamesaini independent witnesses, haimaanishi certificate of seizure haitapokelewa mahakamani, na haimaanishi haitakuwa na mashiko. usipoteze wenzako maboya. halafu, hivi kwa akili yako huwa kuna mtu anayesaini kwa kupenda au ameshavurugwa kwa kichapo na vitisho? ati usikubali,wanasheria huwa mnapotosha sana watu kwa vitu vya wazi. chukulia mfano hao kina song lei, wanakutwa na pembe za ndovu sijui faru live kwenye gari yao au kwenye begi, au mtu anakutwa na kichwa cha mtu kwenye mfuko, auu mtu anakutwa na unga tumboni au kwenye begi, unaanzaje kukataa kwa mfano, hata wakikuzaba kibao watakuwa wamekuonea kweli? na hakuna ushahidi kama ulichapwa wala nini....hujawahi kamatwa ndio maana unaongea hivyo, ukija kufanya kosa la maana ukakamatwa ukawa peke yako chumbani kule polisi utajua kama mtu anaweza kusaini au akawa na uhuru kukataa. unaweza kukataa kama wanakubambika, n a wao ni binadamu wanaweza kukuacha wasikuchape, ila umekutwa navyo na unakataa utajikuta wewe mwenyewe unaomba peni usaini. pia, uwepo wa independent witnesses huwa una cure hiyo hoja yako and still certificate of seizure can be admissible in court without the signature of the accused on it.
Barikiwa sana Wakili. Ukija uje na jinsi ya kujilinda na kesi za trafiki wa barabarani. Vipi ile kesi ya makampuni ya simu ulifanikiwa kututetea wachumia juani.USIKUBALI KUSAINI NYARAKA HII UNAPOPEKULIWA NA POLISI
Na Bashir Yakub. WAKILI
+255 714 047 241
Polisi wanapokufanyia upekuzi, iwe wewe mwenyewe binafsi, nyumbani kwako, kazini kwako, gari lako au penginepo ipo fomu maalum ambayo wao wenyewe huijaza na kumtaka mtu aliyefanyiwa upekuzi naye kuijaza.
Fomu hii huitwa Certificate of Seizure. Fomu hii hujazwa hasa pale ambapo katika upekuzi kuna chochote kinatakiwa kuchukuliwa kama ushahidi(exhibit).
Ni fomu ambayo huoredhesha mali ama vitu ambavyo umekutwa navyo. Chochote ambacho umekutwa nacho ambacho wao wanatakiwa kukichukua/kuondoka nacho kama ushahidi basi huorodheshwa.
Hata kama kidogo kama pipi ama sindano madhali wanatakiwa kukichukua kwa ajili ya upelelezi basi hutakiwa kuorodheshwa kwenye hiyo fomu/hati.
Aidha, ni muhimu kujua kuwa ikiwa unapinga kuhusu kile kinachochukuliwa kuwa hukukutwa nacho ama hakikukutwa kwako basi usikubali kusaini fomu hiyo.
Hii ni kwasababu kukubali kwako kusaini fomu hiyo tafsiri yake kisherria ni kuwa umekubali kuwa umekutwa na hicho kitu.
Na endapo utafikishwa mahakamani basi fomu hiyo itawasilishwa kama ushahidi na kwasababu ulisaini basi ulikubali kuwa ulikutwa na kitu hicho.
Vinginevyo uwe unakubali kuwa ni kweli hicho kitu umekutwa nacho, basi hapo waweza kusaini. Lakini kama hukubali basi usisaini.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya rufaa kupitia kesi ya SONG LEI VS THE DPP, AND THE DPP VS XIAO SHAODAN and Two Others, Consolidated Criminal Appeal Nos. I6'A' of 2016 & 16 of 2017, ambapo mahakama ilisema kuwa kusaini hati/fomu ya upekuzi ya mali zilizochukuliwa ni kukubali kuwa umekutwa na huo ushahidi.
Katika hii kesi raia wa China walisaini Pembe za Wanyama kukutwa ndani ya gari lao na ndo ukawa ushahidi dhidi yao.
Maamuzi mengine mengi yameeleza msimamo huu kuwa ukikubali kusaini umekubali kukutwa na huo ushahidi.
Ni muhimu sana kulijua eneo hili la mtego ambalo linaweza likakupeleka jela na yafaa basi kuwa makini katika mazingira hayo.
Umeelewa hata kilichoandikwa? Labda nimekwenda mbali, umesoma hicho kilichoandikwa ??Huyu ni Wakili kweli? Nina mashaka na uwakili wake!! Upekuzi umefanyika kwa kufuata taratibu na sheria halafu mtu akatae kusaini.