Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Mkuu kama bando shida weka namba tukutumieDaah umenifungua macho mkuu, Ingawa mi nlitaka ku share tu masaibu yaliyonikuta maishani mwangu, kumbe kuna mjinga anaweza kupiga hela bure wakati mi namaliza bandle langu bure,
Basi ngoja niishie hapa, Poleni sana Wadau,
Ntaiandika yote alafu ntaileta yote kwa pamoja,
Ngoja sasa nianze kujibu comment
Huyu Anamaanisha passport size zile ni dakika 3 unapiga picha na kupewa .
Mkuu nilimaanisha pasport size, sema tushazoea kitaani unaita tu passport, mfano unaskia naenda kupiga passport,hivyo yani,Angetaka kusema passport angesemaje?
Ni kweli, nilwaza pia hicho kitu, ila shida ilikuwa muda umeenda sana, kipindi kile nilifanikiwa sababu madogo walikuwa wananijua, pia walimu walikuwa wananijua ndo maana haikuwa shida,Mkuu me swali langu ni kwamba, mwanzonimwanzoni mwa story yako uliwahi sema kuna kipindi ulipigika ukaamua kurudi kule shuleni ulikosoma A-level ukawatangazia kuhusu kuwafundisha mdogo na muitikio ukawa fresh, ..kwa nn usingerudi kule ukawa unafundisha tu kuliko kupigika hivyo na uwezo wa kufundisha ulikuwa nao tena masomo ya sayansi ambayo ni big deal ?
Mkuu nilimaanisha pasport size, sema tushazoea kitaani unaita tu passport, mfano unaskia naenda kupiga passport,hivyo yani,
Ningetaka kusema passport unayomaanisha wewe ningesema pas ya kusafiria, au hata kama ningesema passport lakini lazima mazingira yake yangekuwa ni ya kusafiri safiri hasa nje ya nchi
πππππ wooiii kuna watu hamuwezi ingia Mbinguni walaqhi na mkifanikiwa kuingia mtakua mnatambaa mkiomba malaika awatengenezee uji mwepesiii maana mtakua mmechoka sanahππ»Mtoa mada,
Sahii na wewe ukituacha solemba kama zile maandazi zingine niamini Mimi, tunafanya maombi ya kufunga kwa ajili yako.!!
Hamuwezi kutuacha kila siku na utamu wakati ndiyo tunakaribia kileleni..!!
Hahaaa...πππππ wooiii kuna watu hamuwezi ingia Mbinguni walaqhi na mkifanikiwa kuingia mtakua mnatambaa mkiomba malaika awatengenezee uji mwepesiii maana mtakua mmechoka sanahππ»
Ndio mlipie sas acheni vitu vya bure jmnKwa hyo mzgo ndo umeishia hapa au macho yangu.
Kweli akili sina.