Usilolijua: Malkia Elizabeth ni mjukuu wa Mtume Muhamad(s.a.w)

Hapo umedanganya. Mbona Yule Mama hapendi kujitoa mhanga ili akapate wanaume mabikra Saba?
 
Weka na nyeusi zake ili tutoe hitimisho...
 
takbirirrrr...
 
Kujitekenya na kucheka ni furaha vile vile manake kicheko ni kile kile
 
Mleta mada ......inatusaidia nin hii mada yako?hivi babu yako wa 3 kizaa baba yako unamjua?baba yake unamjua pia?unaona ufahari gani kumlinganisha mudi na malkia wa uingereza?kunafaida gani?ndo walewale wanaodai Jehova ni alah .....Yesu ni issa....ovyooo!
 
Umezingua
 
Obama mjomba wangu.! Ukifuatilia historia kurudi nyuma hadi mwaka 1764, babu yetu mmoja..
amini usiamini, teh teh
Teh teh teh hongera mkuu.....kwahiyo una undugu na wakenya
 
Hussein aliuliwa na wayahudi na Hassan aliuliwa na mkewe


Usiseme walikufa kabla hawajaoa
 
Maneno ya mitaani..! nukuu zenyewe ni butu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…