Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kwamba niache kufanya mambo muhimu ya wananchi nibabaike na mihemko yako 🤣Umekuwa debe tupu hauachi kuvuma na Wewe anzisha mada za kumpamba SSH na utawala wake, maana nduguyo Mwashambwa ameanza kukata moto taratibu. Ukija kwenye nyuzi kama hii usiwe unachafua hali ya hewa kwa kuandika viroja. Wewe na chama chako si mna kila kitu ? Majeshi, TRA, BOT, Mbuga na Madini???
Hayo mavitu yote mnamiliki mna utilize vipi kwa ustawi wa nchi? Au nyinyi mmeshajiandaa kuikimbia Tanzania? Kimsingi ww Dada sijui Jamaa una akili za ajabu sana. Hali inasikitisha na kila siku mnamsifia tu huyo SSH na Chama lenu inatia aibu Waziri Mchengerwa alipokuwa Waziri wa TAMISEMI kabla ya kurudishwa tena mara ya pili tena kusema kwamba hela ya kukenga njia ya juu kutoka Magomeni mpaka Fire ipo tayari. Leo hii pale Jangwani maji yamekosa muelekeo Bajaj zikipita yanaingia mpaka ndani miguuni tulikopanda abiria. Jisikie aibu kusifia ujinga ujinga. Yaani hata kama ni nani Mimi nakuona ni mtu wa hovyo sana.
kwahiyo nimseifie Mzee wa konyagi?🤣
au puppet? analalamika na kuomba omba kuchangiwa huyo! tata tatatata 🤣