Usilolijua ni hili, zaidi ya askari 100 wametumika kumlinda Boniface Jacob Mahakamani

Usilolijua ni hili, zaidi ya askari 100 wametumika kumlinda Boniface Jacob Mahakamani

Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba pamoja na Boniface Jacob kuachiwa kwa Dhamama kulikuwa na Jambo la kustaajabisha kidogo lililojitokeza Kwenye Mahakama ya Kisutu.

Sisi wengine kwenye mambo Makubwa huwa pia tunaangalia mambo madogo madogo, Jicho letu limeangazia idadi ya Askari waliomiminwa Mahakamani ili kuhakikisha Bonny Dongo hafurukuti, Idadi hii inatajwa kuzidi hata ile ya Askari waliomkamata Osama Bin Laden kwenye mapango.

View attachment 3117778
Hesabu ya Haraka inaonyesha kwamba kwenye kizimba cha Mahakama alipokuwa Bonny alizungukwa na Askari wenye sare zaidi ya 25, Juu ya Paa kulikuwa na Askari zaidi ya 20, kwenye Geti la kuingilia kulikuwa na zaidi ya Askari 18, Huku ndani ya Mahakama wakijazwa zaidi ya Askari 50 waliovaa Kiraia.

View attachment 3117779
Hoja yetu ni hii, Sababu ya Kumpaisha huyu jamaa kiasi hiki ni nini hasa, Ana Ugaidi upi wa kuitisha Mamlaka kiasi cha kukodi hata Askari wa akiba wa Mikoa ya Jirani?

Angalizo letu ni hili hapa.

Walikuwa kwa nia njema kumlinda wabsaya wake wasmdhuru.
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba pamoja na Boniface Jacob kuachiwa kwa Dhamama kulikuwa na Jambo la kustaajabisha kidogo lililojitokeza Kwenye Mahakama ya Kisutu.

Sisi wengine kwenye mambo Makubwa huwa pia tunaangalia mambo madogo madogo, Jicho letu limeangazia idadi ya Askari waliomiminwa Mahakamani ili kuhakikisha Bonny Dongo hafurukuti, Idadi hii inatajwa kuzidi hata ile ya Askari waliomkamata Osama Bin Laden kwenye mapango.

View attachment 3117778
Hesabu ya Haraka inaonyesha kwamba kwenye kizimba cha Mahakama alipokuwa Bonny alizungukwa na Askari wenye sare zaidi ya 25, Juu ya Paa kulikuwa na Askari zaidi ya 20, kwenye Geti la kuingilia kulikuwa na zaidi ya Askari 18, Huku ndani ya Mahakama wakijazwa zaidi ya Askari 50 waliovaa Kiraia.

View attachment 3117779
Hoja yetu ni hii, Sababu ya Kumpaisha huyu jamaa kiasi hiki ni nini hasa, Ana Ugaidi upi wa kuitisha Mamlaka kiasi cha kukodi hata Askari wa akiba wa Mikoa ya Jirani?

Angalizo letu ni hili hapa.



Hata wasingekuwepo hapo ndani wangekuwa mahali wanachezea simu and so it doesn't make any difference!
 
Wa juu ya paa picha tafadhali
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba pamoja na Boniface Jacob kuachiwa kwa Dhamama kulikuwa na Jambo la kustaajabisha kidogo lililojitokeza Kwenye Mahakama ya Kisutu.

Sisi wengine kwenye mambo Makubwa huwa pia tunaangalia mambo madogo madogo, Jicho letu limeangazia idadi ya Askari waliomiminwa Mahakamani ili kuhakikisha Bonny Dongo hafurukuti, Idadi hii inatajwa kuzidi hata ile ya Askari waliomkamata Osama Bin Laden kwenye mapango.

View attachment 3117778
Hesabu ya Haraka inaonyesha kwamba kwenye kizimba cha Mahakama alipokuwa Bonny alizungukwa na Askari wenye sare zaidi ya 25, Juu ya Paa kulikuwa na Askari zaidi ya 20, kwenye Geti la kuingilia kulikuwa na zaidi ya Askari 18, Huku ndani ya Mahakama wakijazwa zaidi ya Askari 50 waliovaa Kiraia.

View attachment 3117779
Hoja yetu ni hii, Sababu ya Kumpaisha huyu jamaa kiasi hiki ni nini hasa, Ana Ugaidi upi wa kuitisha Mamlaka kiasi cha kukodi hata Askari wa akiba wa Mikoa ya Jirani?

Angalizo letu ni hili hapa.

Kwa hiyo uwepo wa usalama mahakamani ndio kutawaletea ushindi😅😅😅 au nimeelewa vibaya?
 
onyesha wewe bas mawazo mapya muhimu na fikra mbadala gentleman?🤣

mbona tu unaonyesha mihemko na makasiriko tu huku huna jipya?🤣
IMG-20241008-WA0010.jpg

Yaani uliandika mipasho na nikakwambia utimamu wako wa fikra ni finyu halafu unakuja unakanusha. Sibishani na wewe tena kwenye huu uzi. Nishaona kubishana na wewe ni utoto na kupoteza muda tu
 
Its Sound like Bon Yai ndo Mgombea Uraisi kwa chama cha Chadema Mwakani.

Nafikiria tu kwa sauti. 🤔
 
Wamejiunga kwa fujo sana halafu hata wanachokiandika hakieleweki.
Hivi unaona wengine hawana haki ya kujiunga na JF kiongozi baada yako. Kumbuka kuna marika tofauti Tanzania, acha ubaguzi Mkuu. JF tu unaionea choyo ukishika madaraka unayopambania utawakumbuka vijana wewe?
 
Back
Top Bottom