Usilolijua ni kwamba Aron Kagurumujuli amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Wilaya ya Kinondoni

..Ccm mnaharibu nchi.

..mmejaza watu wa hovyo kama Karugumjuli kila mahali ikiwemo polisi, tiss, mahakamani etc

..hii nchi ni yetu sote.
 
Sawa alikuwa mkurugenzi wakati ule Akwilina alipouwawa. Sasa yeye kushiriki chaguzi za CCM kama mwanaCCM kunq ubaya gani? Je kama alishastaafu utumishi wa umma?

Acheni siasa njaa bana.View attachment 2381711
Damu ya binti huyu itamlilia na kumuandama muda wote wa maisha yake, ni lazima itafika muda naye yatamfika majanga makubwa tu.
 
Kukichwa kutapambazuka... Mungu ibariki CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…