Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #181
Jamaa ana hasiraa za unyumbuni😆😂🤒Yaani kapagawa haswaaa. KDB mchezo?[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana hasiraa za unyumbuni😆😂🤒Yaani kapagawa haswaaa. KDB mchezo?[emoji1787]
[emoji1787]Jamaa ana hasiraa za unyumbuni[emoji38][emoji23][emoji855]
Bado zile goli 3 alizo kandwa na arsenal😂😆🤒[emoji1787]
Mwanitesa Utd. Roho mbaya haijengi[emoji1787]Bado zile goli 3 alizo kandwa na arsenal[emoji23][emoji38][emoji855]
Newcastle Wana kuja😆😆Mwanitesa Utd. Roho mbaya haijengi[emoji1787]
Nime maanisha kwa Mwaka we Jamaa😆😂😂.Huu Uzi itakuwa umendikwa na mjomba wake KDB, maana umekaa kishabiki sana😂😂😂
Pesa aliyokuwa anakula KDB pale Chelsea kwa wiki, ni hela anayolipwa daktari bingwa wa England kwa mwaka. Ila umeandika kama alikuwa anashinda njaa na kulala stand.
Pia, Courtois anakula €288,000. KBD analipwa €430,000. Kuna tofauti ndiyo ila sio mara sita.
Wana ni majanga siku hizi😆😀🤒Wana sio wana
Hakuna jipya ndani ya macho na Akili, kwa anaye jiona kakamilika.Hamna la kujifunza hapa, labda ujinga.