Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #181
Jamaa ana hasiraa za unyumbuni๐๐๐คYaani kapagawa haswaaa. KDB mchezo?[emoji1787]
[emoji1787]Jamaa ana hasiraa za unyumbuni[emoji38][emoji23][emoji855]
Bado zile goli 3 alizo kandwa na arsenal๐๐๐ค[emoji1787]
Mwanitesa Utd. Roho mbaya haijengi[emoji1787]Bado zile goli 3 alizo kandwa na arsenal[emoji23][emoji38][emoji855]
Newcastle Wana kuja๐๐Mwanitesa Utd. Roho mbaya haijengi[emoji1787]
Nime maanisha kwa Mwaka we Jamaa๐๐๐.Huu Uzi itakuwa umendikwa na mjomba wake KDB, maana umekaa kishabiki sana๐๐๐
Pesa aliyokuwa anakula KDB pale Chelsea kwa wiki, ni hela anayolipwa daktari bingwa wa England kwa mwaka. Ila umeandika kama alikuwa anashinda njaa na kulala stand.
Pia, Courtois anakula โฌ288,000. KBD analipwa โฌ430,000. Kuna tofauti ndiyo ila sio mara sita.
Wana ni majanga siku hizi๐๐๐คWana sio wana
Hakuna jipya ndani ya macho na Akili, kwa anaye jiona kakamilika.Hamna la kujifunza hapa, labda ujinga.