Usimdharau mtu, jifunze kupitia Historia ya maisha ya Kevin de Bruyne

Huenda bila kuachwa angebweteka na asingekuwa na machungu ya kufanikiwa km aliyonayo sasa. cc: Lucas Mwoshambwa usikate tamaa kuimba mapambio. Huenda siku moja ukagawiwa kijiko cha asali ulambe
Naunga mkono hoja 🤣
 
Naunga mkono hoja 🤣
 
Ujuaji mwingine bna kwanza ww sio mtu kabumbu hkn mtu wa soka anaweza ongea huu utopolo wako.
 
Mwanangu Don ukisoma hapa nisamehe bure mwanao utoto ulinijaa bwana.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Maoni ya United ya Ferguson kuhusu mchezaji wa city[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…