Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
aisome Ngariba1 💃Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
naunga hoja kwa miguu yote.. watujali tu kwakweli thawabu zao ziko mbingunii...Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Sio katikati ya mapaja?thawabu zao ziko mbingunii...
😐Sio katikati ya mapaja?
Ulipewa mtandao nini?Aiseee. Alafu kuna wake za watu akinogewa nje hadi anagawa tigo kwa mchepuko. Dunia ina mambo nyie
Mkuu kama umeolewa na Bandidu basi ni jukumu lako kumbadili awe Mr Romantic na sio kukubali Care za wanaume wengine.N
Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.
Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
🚶🚶🚶🚶sanalii futa huu uzi...umekaa kizushi na kichonganishi..kwahyo tusisaidiwe tufe mfurahi!!😌😔...
magents popote mlipo "visses"
bora watuache tusambaze upendoWaacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
grasses are not always greener on the other side dudeUnaakili sana, kuna wadada wajinga wanajua grasses are green through out the year,
Hongera
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wifi nimepata 🤣🤣🤣Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Wifi baki njia kuu 🤣N
Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.
Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....