Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
naunga hoja kwa miguu yote.. watujali tu kwakweli thawabu zao ziko mbingunii...
 
1693938677794.jpg
 
N

Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.

Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
Mkuu kama umeolewa na Bandidu basi ni jukumu lako kumbadili awe Mr Romantic na sio kukubali Care za wanaume wengine.

CARE INA PRICE, HAKUNA VYA BURE...
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
bora watuache tusambaze upendo
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Wifi nimepata 🤣🤣🤣
Natamani hii comment aione baba K
 
N

Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.

Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
Wifi baki njia kuu 🤣
 
Sio Kila mke wa mtu anafahamu maana ya neno mke wa mtu.
Wengi wameolewa but utaka waishi kama hawajaolewa
 
Back
Top Bottom