Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Tunashukuru, uzuri mnatupaga hadi nyuma.
 
Naam
 
Sawa, lakini kupunguza upendo kwa mkeo kwa sababu yoyote ile ni upunguani.

Ulimwoa wa nini wakati ulijua humpendi?

Mwanamke ni kama mtoto, hata kama huna hela, ukimwonesha kumjali, analewa chakari hata kama si kwa mumewe.

Hatuwezi kuacha kumwonesha upendo hasa tukiona unahitajika na nafasi tunayo. Anapewa akilewa anapewa maji ya kunywa pia ili kuzimua kileo.

Mwanaume unakaa siku tatu hata text kwa mkeo hakuna. Mbaya zaidi aumwe, alazwe apone, eti uko busy na vikao vya kazi wakati kwa level yako vikao unavyotaja haitatokea uvifanye. Mkeo anafahamu unamkwepa na kisa umetingwa na michepuko.

Unamdanganya mkeo kuwa uko safari, wakati anakuona mtaa wa pili tu hapo umefungiwa ndani.

Unaenda matembezi ya jioni tu unarudi jioni siku ya pili na hakuna taarifa yoyote kwa mkeo. Mbaya zaidi anapata story kuhusu uliyoyafanya jana na michepuko yako mtaani.

Mke anamaliza miaka mitano hujawahi kumnunulia hata leso tu kama zawadi. Hujawahi kurudi nyumbani na hata kilo ya nyama miaka zaidi ya kumi achilia mbali nguo za watoto wako. Mwanaume unawathamini watoto wa nje lakini wale wa mkeo wa ndoa unaona wa kawaida tu.

Pamoja na mambo mengine, kuwaonyesha upendo mkeo na watoto ni jukumu la msingi sana na ni sehemu ya mahitaji ya familia yako.

Hata ukiwa bize kiasi gani, tenga japo dakika tano, wapigie, watafurahi sana.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Sababu zipo. Nimejifunza kwa niliowaona na hizi changamoto.

Kukosekana kwa upendo ndani ya ndoa huchochea sana uchepukaji kwa wanawake.

Jifunze utaona tofauti.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Na wengi wanavuliwa chupi kwa kutendewa wema matokeo yake hasara kwao,ukitembea na mke wa mtu ni lazima tu ipo siku au miaka itajulikana na atapigwa chini utaibeba laaana ya watoto wake kukosa malezi ya baba
Ilishapangwa wataachana. Mbona wewe unachepuka? Au ni kwa vile mwanamke hana njia kukuacha?

Unakuja na michepuko hadi nyumbani, mkeo aipikie chakula mle halafu mnaenda kulalana hadi siku ya pili. Mkeo anona, eti avumiie ni fungu lake.

Kumbe kwako panaume ila mkeo avumilie. Tuache ukatili dhidi ya wake zetu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kuna hawa wake za watu ukizoeana nao tu wanahamisha shida zote za nyumbani kwako, mara vocha, mara umeme, mara mtoto anaumwa, mara mtoto anakohoa, mara sijui tunahamu ya kitimoto, yaani ni shida anakupa uume wa pili.
 
Nacheka kama mazuri, ila mkuu umeongea point moja muhimu sana ambayo nakiri wengi tunaichukulia poa ilhali ina athari kubwa sana na wengi tunaponzwa na wema

Kuna baadhi ya watu tatizo lako ni lake, ukimshirikisha tu atakutia moyo, atakusaidia, atakufariji mpaka ufanikishe kiasi kwamba ni ngumu sana kumtoa moyoni kwa namna anavyokupigania

Unajikuta tu potelea pote, huyu kanipa amani ya moyo wacha nimtunuku zawadi ya kudumu akiwa mke wa mtu sasa ndio balaa
 
Mimi sijawahi kuchepuka sio kipya nafata nje nyama ya moto ni ile Ile tu
 
Tuache roho mbaya hebu tusaidiane panapobidi kuhusu mtu kutoa kitumbua hakuna shida kama kaamua kumtunuku kutokana na wema alotendewa ikumbukwe kuwa haisomi
Millage, mwisho jamani hakuna mapenzi matam kama kumpa anaekujali bila kujali cheo Wala mahusiano
 
...something here! Let us go men!

Nimesaidia na kuwashauri wamama wengi wanaopitia changamoto ktk ndoa. Nimekimbia zawadi za mbususu kadhaa!

Nadhani ni commitment tu ya mtu! Sio kila unayemsaidia lazima umkule! Wengine tumeumbwa na mahuruma yetu, yasije tu yakatuponza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…