Usimpe mtu connection ya kazi ni Bora uiuze kwa gharama

Niunganishe hapo, hiyo 1.5m nakurudishia yote
 
Huo ni uwendawazimu, wapuuzwe hao wakaskazini
 
Kuliko kusimanga na kufanywa mtumwa baada ya kusaidia watu basi tuuzieni hizo connection za kazi
 
Kuna mda kama ukikubari thamani yako na ya ukoo wako ishuke basi kazi boss mwenye kibri itakua ni partner wako maishani.
 
Kuna watu ukiwasaidia wakifanikiwa wanajifanya kama sio wewe vile uliwapigia pande.
 
Mcanada me nisaidie connection ya Canada pls
 
Naweza nikakubaliana na wewe sana sana maana nimeshakutana na scenario zooote ulizoeleza hapo mkuu.Zote zinanihusu mwenyewe

Nikitulia nitazielezea zoteeeee..Ilankwa 90% uko sahihi
 
Nina laki 5 naitaji kazi ya uhakika na mkataba wa miaka 3 au kudumu..kama unayo njoo tuyakenge
 
Najaribu kuangalia motive behind ya hii tabia yako ,,,
Ni hela huna au unanjaa au nn nn

Ebu ni kwambie mtu ukimuuzia kazi hawezi kuithamini atakua mwizi humo ashafanya hiyo n biashara na yy! Akipata kazi atatafuta namna ya kupiga anajua atanunua kazi nyingine
 
Naweza nikakubaliana na wewe sana sana maana nimeshakutana na scenario zooote ulizoeleza hapo mkuu.Zote zinanihusu mwenyewe

Nikitulia nitazielezea zoteeeee..Ilankwa 90% uko sahihi

Bado hujatulia Mkûu ushushe uzoefu
 

Hiyo haitakuwa juu yako itakuwa juu yake.

Weñye uzoefu wa kutoa connection bure wanajua nasema kitu gàni.
Siku ukibarikiwa Ukawa na Nafasi ya kujua connection zilipo utaelewa nazungumzia nini KW Sasa Huwezi kuelewa Kwa sababu nawe unatafuta hizô connections
 
Sikubaliani na wewe kwenye mengine lakini hili bro 💯.
1. Kuna mbwa nilimtafutia kazi nilipokua nafanya kazi, wakati anaomba kazi alikua anatamani anipigie magoti. We bwanaee, alipopata Ile kazi na kumjua bosi ilikua balaa hadi mwenyewe nikaacha kazi. Lakini shetani Hana rafiki, bosi alimsikiliza huku jamaa kanunua harrier na baadaye wakapelekana mahakamani.
2. Kuna mshkaji wa utotoni, msomi mzuri tu, Kuna kipindi Hana kazi hata Mia Hana, ananyanyaswa na mkewe Kama mbwa, nokamhurumia nikampa connection. Hutaamini Kuna siku tumekutana naye akiwa na mkewe, tukakaa mahali tulivu, bili ilipokuja alisemma kila mtu alipie alichotumia. Kalipa alivyokula na mkewe. Mimi nikajilipia. Mbwa yule sitaki hata kumuona.
 

Ndio maana wahenga wanakuambia tenda Wema nenda zako ukiamua kubaki Basi Baki at your own risk.

Binadamu NI kiumbe WA ajabu Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…