Usimpe nafasi ya pili mwanamke aliyekusaliti: Soma yaliyonikuta unaweza jifunza kitu

We jamaa huyo demu ameshajua wewe ni dhaifu kwake na akikubembeleza na vimaneno vya nakupenda nakupenda unadinda unajaa, na unaonyesha hauna backup kwamba huyo demu akikuacha utakufa na nyege
Upo sahihi mkuu, but this time sina upuuz huo, nilimsamehe mwanzo, kwasasa atabaki chombo cha starehe
 
Hawa watoto ni wa moto ila ndiyo Pasua kichwa.

Ndiyo maana nadeal na mishangazi tu
 
Hivi aina hii ya wanaume huwa mnatokea nchi gani?

Mimi nikimhisi tu mwanamke kujaribu ku cheat hiyo ni tiketi yake ya kuondokea achilia mbali kumfumania kwa sms ambazo ni ushahidi tosha.

Nyinyi ndiyo mnaosababisha wanaume wote tuonekane maboya kumbe maboya mpo wachache qmmmk.
 
Uwe nae kwaajili ya kupiga mzigo tu!!? My brother Kuna utiai,gono,kaswende,ukimwi, upotevu was muda,pesa. Why uwe na mtu bila sababu ya msingi? Time Will Tell
Over.
 
Muombe 0717....





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mwanangu tulikwambia nyoka afugwi wewe unangangania kumfuga nasemajeee endelea kumfunga kitakachokukuta usisahau kuja kutupa mrejesho.
 
What if alikusaliti kwa kutotoa dozi kamili
 
Kwanza utajuaje Kama atakusalitu ndo usimpe nafasi ya kwanza achilia mbali hiyo ya pili
Mwanamme halisi anatakiwa kuwa na ujuzi na falsafa kama za Saddam Hussein.

Saddam Hussein aliwahi kusema kuwa ana uwezo wa kumjua mtu fulani atakuwa msaliti kabla ya huyo msaliti hajajua kuwa atakuwa msaliti.

Hiki ni kipaji, si kila mtu anaweza.
 
Mwanamme halisi anatakiwa kuwa na ujuzi na falsafa kama za Saddam Hussein.

Saddam Hussein aliwahi kusema kuwa ana uwezo wa kumjua mtu fulani atakuwa msaliti kabla ya huyo msaliti hajajua kuwa atakuwa msaliti.

Hiki ni kipaji, si kila mtu anaweza.
Mkuu hicho kipaji wewe unacho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…