Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Aisee kila uzi ni uzi kikubwa uwe na maneno tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnahangaika kujibizana na watu kama hawa? Mtu mwenyewe hajaoa, analala kwa shemeji atajulia wapi mambo ya ndoa?Jamani muwe seriously wakati mwingine,mlete vitu vyenye uhalisia.
Mke wako kajiunga vicoba ambavyo ulimkataza,ameshindwa marejesho vitu ndani vimesombwa utawaza hayo mambo ya chumbani eti umuadhibu huko?
Au kafanya uzembe umepata loss ya mamilion,ama kamtukana mama yako mzazi,utawaza hayo mambo ya chumbani?.Tena kwa wanawake hawa watumia chupa za mirinda na matango kutwa!?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Wanaume wachache sana sa hv wanaweza kutupiga na bakora..... Wengi wao chips mayai..... Badala ya wao kutupiga bakola sie ndo tunawapigaWatu wa utamaduni hawachapi mwanamke kwa fimbo. Wanamchapa kwa Ukuni. mwanamke hapigwi makofi... hapigwi ngumi na mateke (hapa ndo unakosea kabisa ) afadhali kibao kimoja tu cha kumshtua akili lakini si ngumi na mateke. yaani ukimpiga mwanamke ngumi au teke wewe ufungwe kabisa hufai.
Mwanamke mjeuri "mtie bakora" ndiyo.. wewe "mtie bakora' haswa hata asiweze tembea au simama vizuri. Tena unamtia huku unamwambia kabisa "kwa nini unakuwa mjeuri eeeeh....kwa nini nakwambia husikii" unamuuliza huku ukiwa unamtia....bakora mcharaze nayo hata masaa mawili.... na ukitaka akome mwinamishe... apige magoti mpaka mgongo upinde au magoti yachubuke... mtie bakora hasa.. utamwona anaanza kukuelewa kuwa umekasirika anaanza kupinda kiuno au anasogea mbele kadiri unavyomtia bakora.... mwishowe atasema tu kuwa amekosa harudii tena.
halafu usimalize... ukimaliza atajua umemaliza na hasira umeshusha. endelea kumtia bakora mpaka aamua kuinuka na kukimbia. hapo simama oga vaa ondoka zako urudi usiku sana. usimsemeshe kitu kabisa. ndo maana zamani sisi wanaume tulikuwa tunaheshimiwa. hatumchapi mtu kwa fimbo... tunamchapa kwa ukuni.
"sisi watu wa utamaduni hatumpigi mwanamke kwa fimbo, tunampiga kwa ukuni"