Usimsifie mtoto wako wa kiume kuwa ni handsome boy akasikia, utamharibu

mtu mzuri ni mzuri tu hata asiwe na akili wala pesa.. kwa kuwa umevipa vipaumbele hizo sifa nyingine kwamba zinachukua precedence over u-handsome/ uzuri in general ibaki kuwa hulka yako..
 

Hapana Mkuu sina ñia ovu ya kumsema yeyote isipokuwa tabia hatarishi inayoweza kumuathiri mtoto wa kiume.

Mzazi kumsifu mtoto wake sio tatizo. Inategemea anamsifu katika nini. Mtoto wa kiume ukimsifia mambo ya UHB lazima apuyange kitabia iwe kiutafutaji, au kuwa mlenda mlenda
 
Dogo ndo basi tena. Siku hizi HUNA CONTENT KABISA. Umeishiwa sana. Unakuja na vitu vyepesi sana.. shida nini dogo? Sometimes unatakiwa unyamaze tu utulize kichwa. Ukitaka kila mara upost ndo matokeo yake ndo haya.
 
Dogo ndo basi tena. Siku hizi HUNA CONTENT KABISA. Umeishiwa sana. Unakuja na vitu vyepesi sana.. shida nini dogo? Sometimes unatakiwa unyamaze tu utulize kichwa. Ukitaka kila mara upost ndo matokeo yake ndo haya.

Huwezi nielewa. Wapo walioelewa nimeandika nini.
Hata hizo ulizokuwa unazielewa na kuziita contents wapo ambao hawakuzielewa na walizoona ni pumba.
Hivyo acha ubinafsi.
Kitu kama kioo chini ya uelewa wako au unakielewa au unakijua na hakitakusaidia usidhani hakitasaidia wengine
 
Usichukie au kuwa mbishi waliokuzidi umri wanapokushauri au kukupa maonyo.

"mwanangu sikiliza mausia ya baba yako na ushauri, akushauripo kuacha mabaya usishupaze shingo, la sivyo itavunjika"
mimi 20:24
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…