Ingia playstore, pakua app inaitwa Whats Web kwenye simu yako. Ifungue itakuletea picha ya code. Kisha chukua simu ambayo unataka kuidukua.
Hakikisha simu zote ziwe na data. Ingia whatsapp yake, juu kulia kwenye kona kuna vidoti vitatu, bofya hapo.
Ingia palipoandikwa WhatsApp Web, kisha bofya hapo palipoandikwa "ok got it"
Kisha weka simu yako chini ya simu yake ili uweze kuscan QR code ya kwenye ile application iliyo kwenye simu yako.
Sekunde chache tu whatsapp yake itahamia na kwenye simu yako. Na utaanza kuona kila kitu. Ila ili uweze kuona inabidi simu yake data iwe on.
Akizima data hauoni akiwasha unaendelea kuona mtiririko mzima. Kuanzia chati zake, namba zake alizosave na status zake. Hata simu yake ikiisha chaji itakuonesha. Na unauwezo wa kuchati na watu wake, huku wao wakijua wanachati na yeye.
View attachment 813834View attachment 813835View attachment 813836View attachment 813837