Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaazima na nawapa kiroho safi ila kwa hapa umenifumbua macho, sometimes wema hugharimuVp we hawakuazimagi smu yako hapo kitaa?
Ni kweli kabisaa.Maeneo ya mijini yenye watu wengi na hata mitaani tu usimpe mtu simu hasa usiemjua hata kama amekuona unapiga sasa hivi,, mpe mtu simu ambae una uhakika nae tu maana majambazi, wezi, na wahalifu wengine hupenda sana kutumia iyo mbinu ya kuazima simu sababu wasipatikane kirahisi wakiwa wanatafutwa.
Nakubaliana 100% kumuazima azima mtu smu yako ni risk japo kimtaa mtaa sometime mtu unaingiwa na huruma,Maeneo ya mijini yenye watu wengi na hata mitaani tu usimpe mtu simu hasa usiemjua hata kama amekuona unapiga sasa hivi,, mpe mtu simu ambae una uhakika nae tu maana majambazi, wezi, na wahalifu wengine hupenda sana kutumia iyo mbinu ya kuazima simu sababu wasipatikane kirahisi wakiwa wanatafutwa.
Ndio hivyo Mkuu ni risk Sana,, ila mtu kama hayajawahi kumkuta anaweza ona ni kawaida tu.Nakubaliana 100% kumuazima azima mtu smu yako ni risk japo kimtaa mtaa sometime mtu unaingiwa na huruma,
Simu ni personal item no sharing.😂😂 Kwa hyo mtu akiazma huwa unamjibuje
Kabisa kabisa. Zaman mtu akikupita bila kukusalimia unamuuliza we vp mbna husalimii, lakn sku hz mtu akikusalimia unastuka, na sometime unaanza kujikagua kama smu yako bado ipoTunapoelekea hata kusalimiana haitawezekana. Miaka michache nyuma tu hapo kuna vijiji uliweza kugonga mlango wa usiyemjua na akakupa chakula na malazi. Mambo yanaharibika sababu ya kuongezeka uhalifu.
Ndo maana mataifa ya walioendelea inapambana sana na mifumo ya utambuzi.Kabisa kabisa. Zaman mtu akikupita bila kukusalimia unamuuliza we vp mbna husalimii, lakn sku hz mtu akikusalimia unastuka, na sometime unaanza kujikagua kama smu yako bado ipo
Kumbe mlikutana kwenye KAMARIIko hivii;
Hapa mtaan kuna office za kubeti kwa hyo mara nyingi huwa nashinda hapo. Sasa kuna jamaa imetokea tu tumezoeana kwa sababu kila sku tunakutana humo ndanin(simjui jina wala sina details zozote juu yake).
Sasa kuna siku akaazima smu yangu ampigie mtu nikasita nikamwambia mimi sina dakika. Sasa jana kaazima tena simu yangu ampigie mtu nikashindwa kukataa kwa sababu nilikua nmetoka kumpigia mtu muda huohuo kwa hyo alikua na uhakika kwamba nina dakika.
Mimi: Hallo mpigie mwnyewe mana mm nshaondoka pale
Namba ngeni: Mimi namba yake sina, nipatie nimpigie
Mimi: Kwan yule ni nani yako mpaka mnawasiliana afu huna namba yake?
Namba ngeni: Mimi ni askari polisi wa upelelezi nipo Kigambon namtafuta huyo ni mhalifu
Nikakata simu nkarudi kule kwenye kubeti nkamwambia jamaa hebu ongea na hii namba mana sielewi elewi. Nkampigia yule wa namba ngeni then wakaongea kidogo nikamwambia jamaa ampe namba zake ili ampigie kwenye smu yake
Jamaa akamtajia namba akampigia wakaongeaaa wakamaliza. Nkamuuliza huyu jamaa ambae nlimuazma smu kwani huyo anaepiga ni nan kwako? Akanambia ni kaka yangu yeye ni askari na ana miradi mingne lakini hanaga msaada kwangu. Nkashtuka mhhh inakuaje kaka yako akuite mhalifu? Jamaa akanielezea pale kwamba huyu kaka yao ni mtu wa kujimwambafai n.k
Sikuridhika na maelezo yake ikabidi niipige tena ile namba ngeni
Mimi; vp kwa hyo huyu jamaa sio mhalifu?
Namba ngeni; hapana huyo sio mhalifu ila nlitumia tu hiyo njia ili kuweza kuongea nae, huyo ni mdogo wangu.
MWISHO.
Ukiachana na scenario hyo pia
Kuna siku jamaa mwingine kaazma simu ya mtu atume sms mara moja, kumbe anachati na binti ambaye ni mwanafunzi. Baada ya kumaliza charting akamrudishia smu mwwnye nayo, asa kumbe yule mwanafunzi anatumia smu ya mamake na hakufuta msg alizokuwa anachat, basi yule mama kafatilia ile namba mdogo mdogo akaja kumdaka jamaa ambae ndo mmiliki wa simu sasa. Jamaa alijitetea sana kwamba sio yy aliekuwa anachat na mwanae lakn wapiiii,,, jamaa alilala kituoni sku mbili ndo mhusika alivopatikana jamaa akaachiwa.
Au sometime unajikuta upo kwenye basi afu abiria mwenzio anaazma simu ampigie mwenyeji wake,,
Au upo ofisini kwako anakuja mtu kabeba bag anaonekana kabisa huyu n mgen maeneo haya anakuambia smu yake haina chaji/hana smu/kapoteza smu kwa hyo anaazima smu ampigie mwenyeji wake,,,,, kumbuka watu hawa unakua hujui wana mipango gan labda ni majambazi/wauaji/ human trafficking /any other criminals wanawasiliana kwa hyo wakidakwa na ww unaunganishwa kwny kesi.
Swali langu ni je NAWEZAJE KUKWEPA KUWAAZIMA SIMU YANGU WATU AMBAO HATUFAHAMIANI VIZURI ILI KUEPUKA MATATIZO??
Kabisa lo trust no one!
Vp mkuu mkeka umepona kwenye game ya Man United[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes tulikutana kwny kamari, whats wrong with that?