Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ww una ushuhuda kamili mana Hance Mtanashati kasema hii ni chai!!!!kwakipigo nilicho kutananacho sintasahau mtu mwenyewe humfahamu umeachiwa kesi usio ijuwa nilitolewa mkoani mpaka dar nilizungushwa jiji lote mitutu inakuangalia kuazima simu nimekoma bora nikununulie vocha ukapambane huko mbele
😀😀😀 Huyo kdogo kesi yake sio kama ya stranger,, mana n rahisi ku-trace back na kujua n nan alitumia smu kupigaWewe umeongelea mtu usiyemfahamu. Mimi naongezea. Hata mkeo unayelala nae kitanda kimoja uchi marufuku kugusa simu yako.
Kwa tulipofika naona kuna ulazma wa kufundisha somo la uaminifu mashuleni,, mana kwa sasa mtanzania wengi n tapeli kwanzia viongozi wa dini, raia, wafanyabiashara, boda boda, machinga, mkeo, mwabao, ukikaa vibaya tu unapigwaNDIO huyo ni mmoja wa watu usiowafahamu kwanini waguse Simu yako? SIO mkeo TU hata Mumeo na Mkweo
Hii ya daladala kuna jamaa kapanda na bag lake la mgongon kakuta daladala imejaa ikabidi asimame, akamwomba jamaa aliyekaa amsaidie kupakata bag lake, mbele kdogo police wanasimamisha daladala kumbe yule mwenye bag lake ashastukia mchezo akashukaNakuongezea hii
Epuka kujifanya msamaria kutaka kupokea mizigo watu waliosimama kwenye daladala usiowafahamu. Kwa simu, kama anakwambia hana vocha wewe mpe jero akanunue vocha akikwambia simu yake imeisha chaji mpe jero akatafute pa kuchajia simu.
Wandugu, jifunzeni kuwa strict katika maisha yenu, usitake kuonekana mwema ukaja kulia kipumbavu
Mambo mengi mda mchache,, tunajifunza dailyKikubwa zaidi usije ukampa mwanafunzi wa kike lift hata Kama Ni jirani yako, mvua inanyesha na Giza linaingia. Utakuja kujuta hutopata wa kukutetea.
Mwisho kabisa usije ukamsifia mwanamke yoyote mbele ya mke wako au mke wako akajua, tafadhali MTU wa kusifiwa Ni mwanao na mke wako tu. Full stop.