Usimuazime simu yako mtu usiyemfaham vizuri, Itakugharimu

Maeneo ya mijini yenye watu wengi na hata mitaani tu usimpe mtu simu hasa usiemjua hata kama amekuona unapiga sasa hivi,, mpe mtu simu ambae una uhakika nae tu maana majambazi, wezi, na wahalifu wengine hupenda sana kutumia iyo mbinu ya kuazima simu sababu wasipatikane kirahisi wakiwa wanatafutwa.
 
Ni kweli kabisaa.
 
Nakubaliana 100% kumuazima azima mtu smu yako ni risk japo kimtaa mtaa sometime mtu unaingiwa na huruma,
 
Tunapoelekea hata kusalimiana haitawezekana. Miaka michache nyuma tu hapo kuna vijiji uliweza kugonga mlango wa usiyemjua na akakupa chakula na malazi. Mambo yanaharibika sababu ya kuongezeka uhalifu.
 
Tunapoelekea hata kusalimiana haitawezekana. Miaka michache nyuma tu hapo kuna vijiji uliweza kugonga mlango wa usiyemjua na akakupa chakula na malazi. Mambo yanaharibika sababu ya kuongezeka uhalifu.
Kabisa kabisa. Zaman mtu akikupita bila kukusalimia unamuuliza we vp mbna husalimii, lakn sku hz mtu akikusalimia unastuka, na sometime unaanza kujikagua kama smu yako bado ipo
 
Kabisa kabisa. Zaman mtu akikupita bila kukusalimia unamuuliza we vp mbna husalimii, lakn sku hz mtu akikusalimia unastuka, na sometime unaanza kujikagua kama smu yako bado ipo
Ndo maana mataifa ya walioendelea inapambana sana na mifumo ya utambuzi.
 
Kumbe mlikutana kwenye KAMARI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…