Usimuoe au usimtongoze mwanamke unayempenda

Usimuoe au usimtongoze mwanamke unayempenda

Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Umezaliwa na nyoka! Nyoka hapaswi kuaminiwa.
 
Mtasema sana lakini wanawake hawakwepeki, Cha msingi kubali matokeo, Jenga misingi ambayo ikiwa lengo ni Mali zako asizipate hapo atajitoa mapema na utakua umeshinda, lkn ni wanaume wangapi waliona huyu mke ni Bora Kisha kwa mioyo Yao wakawapa zawadi? Labda akampa nyumba au gari na umiliki wake? Kama yupo ni Wachache, wanawake si nyoka Bali sisi wenyewe tunawashindwa kuwamiliki watajimiliki, ndugu oa, lisha, visha, mpe makazi kwa kadri unavyoweza. Anasema رسول الله صلى الله عليه وسلم Dunia ni starehe na Bora ya sterehe nzuri kabisa ni Mwanamke Bora.
 
Tuliisha kubaliana kuishi na Mwanamke ni kwa wanaume wenye akili tu kama , kama huna akili tafuta mbuzi ufuge tu au uendelee kuwa mshairi wa kimapenzi.
So gentleman panua wigo uwe mpana Saa'hwa eeh
Maghayo The Mongolian Savage
Title za gentleman na real man ni matusi makubwa sana kwa mwanaume. Anything woman says that's start with "gentleman" is always nonsense.

Ask any woman who's gentleman, she will describe a man she can manipulate, use and cheat.
 
Mama alishawai kuniambia kua mwanamke ndani yake Kuna ushetani,ukitaka Kuamini mwanamke anaushetani ndani yake, kati ya Wanaume na wanawake, wanawake wanaongoza kwa kua na mashetani Duniani kote. Au kupandisha mashetani.

Mama yako nae ana ushetani au ni wanawake wengine tu yeye ni special? Anaacha kukupa ushauri wa maana wa maisha na namna za kutafuta pesa anakupa ushauri wa hovyo. Wamatumbi mna safari ndefu.
 
Mama yako yupo sawa maana anazungumza na kitu anachokijua maana naye pia ni mwanamke kwaiyo anajijua alivyo na alivyokuwa na baba yako kwaiyo hataki mwanae apite huko ndo maana mwanamke anapenda mwanaume anayeonga ila hapendi mwanae wakiume awe anaonga hela
 
Title za gentleman na real man ni matusi makubwa sana kwa mwanaume. Anything woman says that's start with "gentleman" is always nonsense.

Ask any woman who's gentleman, she will describe a man she can manipulate, use and cheat.
Oooh real eeh. Nitakurudia
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Hey mama'z boy , kwahiyo baba Ako hakumpenda mama Ako na vipi mama ako anajihudumiwa mwenyewe au ?
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Sifa ya realman lazima ujiamini , tafuta mwanamke mpambanaji, asiye mbinafsi lako lake ,lake lako ....achana na mambo ya mali zangu sijui Nye Nye Nye nyi nyi mxieeew
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Sasa utafurahia vipi maisha yako?
Waliokushauri wao vipi maisha yao?
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Mama yako alimaliza Kila kitu.
Katika vitu huwa namjaribu mwanamke niliye na malengo naye ni kumnyima pesa nione kama Bado atakuwa tayari kuwa nami
 
Back
Top Bottom