Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Tayari huko kishaumana...hayo umeyakanyaga mwenyewe usisingizie wanawake wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ake ilitakiwa amfundishe mwanae sifa za mwanamke Bora ,Mtasema sana lakini wanawake hawakwepeki, Cha msingi kubali matokeo, Jenga misingi ambayo ikiwa lengo ni Mali zako asizipate hapo atajitoa mapema na utakua umeshinda, lkn ni wanaume wangapi waliona huyu mke ni Bora Kisha kwa mioyo Yao wakawapa zawadi? Labda akampa nyumba au gari na umiliki wake? Kama yupo ni Wachache, wanawake si nyoka Bali sisi wenyewe tunawashindwa kuwamiliki watajimiliki, ndugu oa, lisha, visha, mpe makazi kwa kadri unavyoweza. Anasema رسول الله صلى الله عليه وسلم Dunia ni starehe na Bora ya sterehe nzuri kabisa ni Mwanamke Bora.
Na siku akijua unamjaribu hatokupenda kama mwanzo.Mama yako alimaliza Kila kitu.
Katika vitu huwa namjaribu mwanamke niliye na malengo naye ni kumnyima pesa nione kama Bado atakuwa tayari kuwa nami
Miaka miwili ni michache sana kusema lolote.Mimi nina mke niliyempenda sana since back then hapa tuna 21yrs katika ndoa, thanks to her kwani amenivumilia mengi.
Asinipende tuNa siku akijua unamjaribu hatokupenda kama mwanzo.
21 kasemaMiaka miwili ni michache sana kusema lolote.
Asinipende
Basi Nawewe usiombe penzi /ngono Ili aamini kama una malengo naeAsinipende tu
Mi sina kitu ila nina mwanamke ananipenda sana niliwahi kukamatwa na polisi akapanic akasema nichukueni na mimi kama ni kifo mkatuue wote akapanda na kwenye gari ya polisi ikabidi waanze kumbembeleza ashuke na kumwambia kuwa hawaendi kuniua ila alikomaa hadi tukaenda wote polisi japo baada ya kujua nipo kituo gani aliondoka maana yeye hawakua na shida nae.
Stori yote hiyo hapo sina kitu.
Unazungumziaje ushauri wa mjomba wako na mama yako kulingana na stori yangu?
Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki , muoe uyoMi sina kitu ila nina mwanamke ananipenda sana niliwahi kukamatwa na polisi akapanic akasema nichukueni na mimi kama ni kifo mkatuue wote akapanda na kwenye gari ya polisi ikabidi waanze kumbembeleza ashuke na kumwambia kuwa hawaendi kuniua ila alikomaa hadi tukaenda wote polisi japo baada ya kujua nipo kituo gani aliondoka maana yeye hawakua na shida nae.
Stori yote hiyo hapo sina kitu.
Unazungumziaje ushauri wa mjomba wako na mama yako kulingana na stori yangu?
Dah...Umepata one of a kind mpaka nimepata uwivu manigaMi sina kitu ila nina mwanamke ananipenda sana niliwahi kukamatwa na polisi akapanic akasema nichukueni na mimi kama ni kifo mkatuue wote akapanda na kwenye gari ya polisi ikabidi waanze kumbembeleza ashuke na kumwambia kuwa hawaendi kuniua ila alikomaa hadi tukaenda wote polisi japo baada ya kujua nipo kituo gani aliondoka maana yeye hawakua na shida nae.
Stori yote hiyo hapo sina kitu.
Unazungumziaje ushauri wa mjomba wako na mama yako kulingana na stori yangu?
Ni nchi gani hiyo polisi walimwambie huyo msichana hawana shida nae ila wana shida na wewe............🤔🤔🤔🤔🤔 ?Mi sina kitu ila nina mwanamke ananipenda sana niliwahi kukamatwa na polisi akapanic akasema nichukueni na mimi kama ni kifo mkatuue wote akapanda na kwenye gari ya polisi ikabidi waanze kumbembeleza ashuke na kumwambia kuwa hawaendi kuniua ila alikomaa hadi tukaenda wote polisi japo baada ya kujua nipo kituo gani aliondoka maana yeye hawakua na shida nae.
Stori yote hiyo hapo sina kitu.
Unazungumziaje ushauri wa mjomba wako na mama yako kulingana na stori yangu?
Polisi TanzaniaNi nchi gani hiyo polisi walimwambie huyo msichana hawana shida nae ila wana shida na wewe............🤔🤔🤔🤔🤔 ?
Zingatia ushauri wa mama yako, pengine alikuwa anatoa ushuhuda wake kwako kwamba ndivyo alivyo!!! Hata hivyo mimi siamini kwamba kila mwanamke ndivyo alivyo!!!Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"
Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.
Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.
Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"
Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"
Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Kuna kitu kinaniambia wewe bado ni mchanga sana kwenye mahusiano na kitu kinaniambia utakuja lizwa vibaya sana siku zijazo.Mi sina kitu ila nina mwanamke ananipenda sana
Au siyo?Kuna kitu kinaniambia wewe bado ni mchanga sana kwenye mahusiano na kitu kinaniambia utakuja lizwa vibaya sana siku zijazo.
Mkuu usimpe mwanamke moyo wako wote, wanabadilika muda wowoteAu siyo?
Ona sasa kumbe mnauzaga kijanjaBasi Nawewe usiombe penzi /ngono Ili aamini kama una malengo nae