zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sicheki na Wewe MedusaWe ulipigwa tukio sio Bure😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sicheki na Wewe MedusaWe ulipigwa tukio sio Bure😂
Hao wazazi wako, mtu na dadake walikupa osia ambazo ni uniformity, yaani mambo hayo yapo kimfumo.Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"
Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.
Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.
Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"
Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"
Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
😂Njoo na mimi nikumalizie kabisaaSicheki na Wewe Medusa
Hujajibu maswali yangu umekimbilia kusema pesa. Huu ujinga umerithi kwa nani?Haaaa, ndugu Ninavyoilinda pesa, kwa akili yangu Yote, na niko makini na Pesa yangu, Wewe cheza na vingine sio pesa maana mm sio muajiriwa kua mwisho wa mwezi napewa mzigo wa pesa, ni mwendo wa kukipambania pesa iingie ndugu yangu.
Kwa hiyo hukutakiwa kuyaamini maneno ya mama yako kwa vile ni mwanamke. Maana yake anaushetani ndani yake pia yeye ni nyokaMi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"
Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.
Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.
Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"
Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"
Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Mwanaume we ni provider lazima umuhudumie mwanamke wako , kama huna malengo nae mwache dada wa watuOna sasa kumbe mnauzaga kijanja
Ukweli kabisa , mpende akupendaeAcha kuishi na wasiwasi katika mambo yaliyo nje ya uwezo wako, mimi nikionyeshwa upendo na mimi naonyesha upendo, upendo ukiwa haupo na mimi kwangu unaisha, kwahiyo sitoi 100% kwenye 10% lakini pia siwezi kuacha kumpenda anaenipenda sasa hivi kwa kuhofia atabadilika badae
KabisaUkweli kabisa , mpende akupendae
Tuliisha kubaliana kuishi na Mwanamke ni kwa wanaume wenye akili tu kama , kama huna akili tafuta mbuzi ufuge tu au uendelee kuwa mshairi wa kimapenzi.
So gentleman panua wigo uwe mpana Saa'hwa eeh
Maghayo The Mongolian Savage
Si ndo hapo 😅😅😅wanamuambukiza mtoto machuki yasiyo na sababu. Eti usioe mwanamke unayempenda 😅😅😅😅😅Ina maana baba ake hampendi mama ake , sijui wanafurahi vipi na usiyempenda
Wasiona malengo wanajileta wenyewe tunatafuna sana tuMwanaume we ni provider lazima umuhudumie mwanamke wako , kama huna malengo nae mwache dada wa watu
Nawewe binti yako au mjukuu wako watamtafuna bila hurumaWasiona malengo wanajileta wenyewe tunatafuna sana tu
Baba ake kazinguliwa na mama ake basi anajumlisha wanawake wote duniani , maskini mtoto wao kayabeba maneno Yao kama yalivyo . Nimeamini like Father like son.. Ata ukikosa akili za darasan basi omba Mungu asikunyime akili za maishaSi ndo hapo 😅😅😅wanamuambukiza mtoto machuki yasiyo na sababu. Eti usioe mwanamke unayempenda 😅😅😅😅😅
Sasa anaenda kuoa mwanamke asiyempenda na anajisikia fahari 😅😅😅😅inatishaBaba ake kazinguliwa na mama ake basi anajumlisha wanawake wote duniani , maskini mtoto wao kayabeba maneno Yao kama yalivyo . Nimeamini like Father like son.. Ata ukikosa akili za darasan basi omba Mungu asikunyime akili za maisha
Sasa unafikiri wanao hawataliwa?Nawewe binti yako au mjukuu wako watamtafuna bila huruma
Mjomba ni mama na mama yako nayeye ni mwanamke. Hii imenyooka papendicularMi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"
Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.
Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.
Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"
Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"
Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Yuko sahihi sana.Za kuambiwa changanya na zako
Aisee,hongera kwakuwalaWasiona malengo wanajileta wenyewe tunatafuna sana tu