Usimuoe au usimtongoze mwanamke unayempenda

Usimuoe au usimtongoze mwanamke unayempenda

Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Hao wazazi wako, mtu na dadake walikupa osia ambazo ni uniformity, yaani mambo hayo yapo kimfumo.

Labda hata ulivyokuwa ni mtu mzima sasa, haujachunguza na kuona kuwa mambo hayo uliyousiwa ndivyo yalivyo?

Iko hivii, mizani ya mapenzi huwa haibalansi hata siku moja, hauwezi ukampenda sana mwanamke na yeye akawa anakupenda kwa kiwango kile kile, haiwezekani na kinyume chake.

Inaeleweka kuwa, anayempenda sana mwenzake lazima awe ni mtumwa wake wa mapenzi na mahusiano, hainaga ujanja au ubabe hiyo.

Kwa hiyo mjombao alikuusia mambo ya msingi na ya kimfumo.

Ukioa ama kuingia kwenye mahusiano na mwanamke unayemhusudu na kumshobokea saaanaa, hakikisha unazificha hisia zako asizigundue maisha yenu yote, ambapo jambo hilo ni vigumu sana sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano kumficha hisia zako mtu umpendaye.
 
Haaaa, ndugu Ninavyoilinda pesa, kwa akili yangu Yote, na niko makini na Pesa yangu, Wewe cheza na vingine sio pesa maana mm sio muajiriwa kua mwisho wa mwezi napewa mzigo wa pesa, ni mwendo wa kukipambania pesa iingie ndugu yangu.
Hujajibu maswali yangu umekimbilia kusema pesa. Huu ujinga umerithi kwa nani?
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Kwa hiyo hukutakiwa kuyaamini maneno ya mama yako kwa vile ni mwanamke. Maana yake anaushetani ndani yake pia yeye ni nyoka
 
Acha kuishi na wasiwasi katika mambo yaliyo nje ya uwezo wako, mimi nikionyeshwa upendo na mimi naonyesha upendo, upendo ukiwa haupo na mimi kwangu unaisha, kwahiyo sitoi 100% kwenye 10% lakini pia siwezi kuacha kumpenda anaenipenda sasa hivi kwa kuhofia atabadilika badae
Ukweli kabisa , mpende akupendae
 
DUNIA inatudanganya sana na kusababisha MAISHA yakae mbali na SISI 👉 haiingii akilini MTU anakushauri usioe mwanamke unae mpenda how? Mantiki yake hapa uone mwanamke unae mchukia?



May be angekushauri hivi 👉 usioe mwanamke ambaye una Mapenzi makubwa juu yake B'se Msingi wa NDOA ukiwa ni Mapenzi mwisho wake huwa ni mchungu kama pakanga



Note 👉 Mapenzi huwa yana expire i.e huwa yanaisha Ndio maana Msingi wa NDOA ukiwa ni mapenzi ni HATARI b'se mapenzi yakiexpire/yakiisha na NDOA inaisha 😁
 
Si ndo hapo 😅😅😅wanamuambukiza mtoto machuki yasiyo na sababu. Eti usioe mwanamke unayempenda 😅😅😅😅😅
Baba ake kazinguliwa na mama ake basi anajumlisha wanawake wote duniani , maskini mtoto wao kayabeba maneno Yao kama yalivyo . Nimeamini like Father like son.. Ata ukikosa akili za darasan basi omba Mungu asikunyime akili za maisha
 
Baba ake kazinguliwa na mama ake basi anajumlisha wanawake wote duniani , maskini mtoto wao kayabeba maneno Yao kama yalivyo . Nimeamini like Father like son.. Ata ukikosa akili za darasan basi omba Mungu asikunyime akili za maisha
Sasa anaenda kuoa mwanamke asiyempenda na anajisikia fahari 😅😅😅😅inatisha
 
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda"

Hili Jambo Mjomba alinisisitiza mara nyingi sana.

Katika Jambo ambalo mama yangu alinisisitiza sana ni katika swala la utunzaji wa Fedha, Mama yangu alinikataza sana nisiwe Mwepesi wa kutoa Fedha kwa mwanamke.

Mama yangu aliniambia "Mwanamke Hana Upendo na mwanaume ila anaupendo na Vitu unavyompa na pesa yako, kama hauna kitu mwanamke hatokua karibu na wewe, sasa Ili uishi kwa Raha hakikisha pesa na Mali zako azipotei kwa sababu ya mwanamke au mapenzi"

Na siku nyingine mama yangu aliniambia mwanangu" Usimuamini mwanamke ulienae katika mapenzi, na usimpende sana mwanamke, siku akijua kua unampenda ndo mwanzo wa kuaribu Maisha yako"

Pia siku nyingine mama yangu aliniambia USIWEKEZE kwa Mwanamke, alirudia Tena USIWEKEZE kwa Mwanamke Mwanamke Hana kumbukumbu ya mema unayomtendea ila ana kumbukumbu mbaya utakayo mtendea, USIWEKEZE kwa Mwanamke.
"Katika Maisha hautakiwi kumuamini mwanamke, hata iweje Usimuamini, mwanamke ni Nyoka,
Nyoka Paswi kuaminiwa.
Mjomba ni mama na mama yako nayeye ni mwanamke. Hii imenyooka papendicular
 
Binafsi nimeliona kwangu!!

Nilichukua kinyoka kikiwa kidogo sana Tena kinatia huruma huko kwao,nikakaleta nikakalea Leo limekua joka kubwa hadi linasema eti nililichukua coz lilikua linahela Kwa akaunti!wakati hata senti lilikua halina!!
 
Back
Top Bottom